Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa nini jina la Apson Mwang’onda?

JULAI, mwaka 2012, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Tanzania, Apson Mwang’o

Godfrey Dilunga

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tangazo la kupotea kwa ndugu Nsajigwa Kennedy Mwang’onda

Familia ya Marehemu Robert Mwang’onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang’onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM – Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.

Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang’onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.

Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

10 years ago

GPL

TANGAZO LA KUPOTEA KWA NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA‏

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Nsajigwa ana matatizo ya kupoteza kumbukumbu. Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/… ...

 

10 years ago

Michuzi

NDUGU NSAJIGWA KENNEDY MWANG'ONDA ANATAFUTWA NA NDUGU ZAKE

Familia ya Marehemu Robert Mwang'onda wa Mabibo jijini Dar es Salaam wanapenda kutangaza kupotelewa na ndugu yao Nsajigwa Kennedy Mwang'onda ambaye aliondoka nyumbani Mabibo CCM - Karibu na Chuo Cha Usafirishaji toka tarehe 26-2-2015. Anamatatizo la kupoteleza Kumbukumbu.Atakayemuona awafahamishe kwa simu namba 0715 919 168 Frank Mwang'onda, 0682 822 111/ 0754 631 888.Au atoe taarifa kituo chochote cha Polisi kwa URP/RB/2331/2015.

 

9 years ago

Vijimambo

MBIO ZA UBUNGE: LIBERATUS MWANG'OMBE AENDELEA KUWA KIMEO KWA WAGOMBEA WENZAKE

Nyota ya mwana-diaspora kutoka Marekani inaonekana kung'aa kwenye mbio za ubunge mwaka huu. Ni Liberatus Mwang'ombe "Libe" ambaye amekuwa akijizolea umaarufu kila uchao. Mh. Mwang'ombe amekuwa akivunja rekodi kila siku kwa kuwa na mvuto kwenye mikutano yake kuliko mgombea yoyote aliye wahi kutokea kwenye historia ya jimbo la Mbarali.
Mh. Mwang'ombe anaye onekana kuwavutia watu wa rika mbalimbali amekuwa changamoto kwa wagombea wengine ambao kuna baadhi ya maeneo wameshindwa kufanya mikutano...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MBIO ZA UBUNGE: MAFULIKO YAHAMIA MBARALI KWA MWANG'OMBE, AVUNJA REKODI

Liberatus Mwang'ombe "Libe" ameendelea kuvunja rekodi kwa kukusanya watu wengi kuliko mgombea yeyote wa ubunge aliye wahi kutokea jimbo la Mbarali. Mh. Mwang'ombe ambaye amekuwa akiendesha mikutano yake kwa namna ya kipekee kabisa; leo, baada ya kuhutubia aliacha dakika 45 ambapo alisema "nimeomba mdahalo na mgombea wa CCM, Haroon, amekataa; nimeomba mdahalo na mgombea wa ACT, Modestus Kilufi, amekataa; sasa nawaruhusu watu wa Ubaruku mnifanyie mdahalo peke yangu."Watu wa Ubaruku walimuuliza Mh....

 

5 years ago

CCM Blog

DC APSON AMJULIA HALI MVUVI ALIYENG'ATWA MKONO NA MAMBA, AAHIDI KUMUANZISHIA BIASHARA, KUSIMAMIA MATIBABU

 Mkuu wa Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro, Tom Apson (kushoto), akiwa Hospitali ya Usangi kumjulia hali majeruhi aliyeshambuliwa na mamba katika Ziwa Jipe wakati akivua samaki. Mvuvi huyo amekatwa na mamba nusu ya mkono wake wa kushoto. 

Baada ya hapo, DC Apson aliamua kwenda nyumbani kwa majeruhi  kutoa pole kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki. Pia alijumuika na viongozi wa kijiji na kata ya Kigonigoni.


"Hata hivyo kama Kiongozi Mkuu wa Serikali wilayani Mwanga nimeamua tutasimamia...

 

9 years ago

Vijimambo

BREAKING NEWS: MAMA REGINA LOWASSA USO KWA USO NA MWANA DIASPORA, LIBERATUS MWANG'OMBE

Mama Regina Lowassa leo alikuwa Chimala, Mbarali akimnadi mgombea ubunge jimbo la Mbarali, Liberatus Mwang'ombe "Libe". Akiongea na wana Mbarali mama Lowassa amesema mwang'ombe ni kijana mweledi, msomi, na mwenye maono na Mbarali; hivyo basi amewaomba wana Mbarali wasimpoteze Mh. Mwang'ombe. 
Mama Lowassa alishangazwa na umati uliojitokeza baada ya taarifa ya masaa matutu kuwa atasimama Chimala. Mh. Mwang'ombe akitoa shukrani zake kwa mama Lowassa kufika Mbarali alisema "Mbarali ina wapiga...

 

5 years ago

BBCSwahili

Idris Sultan ashitakiwa kwa kutumia namba ya simu isiyosajiliwa kwa jina lake

Msanii huyo alikamatwa Jumanne wiki iliyopita baada ya kujisalimisha kituo cha polisi jiji Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKEWE MAMA SALMA WAKATIZA MTAANI NA KUNUNUA NG'ONDA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakinunua samaki katika kibanda huko Bweni Wilaya ya Pangani juzi wakati Rais alipokwenda kuzindua mradi wa maji na kuweka jiwe la msingi kwaajili ya ujenzi wa maabara shuke ya sekondari Kipumbwi.(picha na Freddy Maro)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani