JK ahimiza barabara vijijini kuboreshwa
RAIS Jakaya Kikwete amewataka wadau wa barabara nchini kuongeza juhudi za kutengeneza barabara za vijijini ili zipitike wakati wote wa mvua na kiangazi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo22 Sep
Dk Bilal ahimiza wanawake vijijini kutumia huduma za afya
MAKAMU wa Rais, Dk Mohammed Gharib Bilal amewataka akinamama Zanzibar kujitokeza kwa wingi kuzitumia huduma za afya zilizopo vijijini kwa ajili ya kupunguza vifo vinavyotokana uzazi.
11 years ago
Habarileo16 Apr
JK ahimiza ushiriki sekta binafsi miradi ya reli, barabara
RAIS Jakaya Kikwete ametoa wito kwa nchi wanachama kukuza ushiriki na sekta binafsi katika kuwekeza kwenye mradi wa Maendeleo wa Ukanda wa Kati. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, kwenye mkutano wa kuzungumzia ukanda huo, alisema fedha za serikali pekee hazitoshelezi kufikia malengo ya kukamilisha miradi ya reli na barabara.
9 years ago
Habarileo18 Nov
Marekani yasaidia ukarabati wa barabara Kilombero Vijijini
SERIKALI ya Marekani kupitia Shirika lake la Maendeleo (USAID), imeidhinisha Sh bilioni 2.4 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro kwa ajili ya kukarabati barabara za vijijini zenye urefu wa kilometa 37.3 kwa kiwango cha changarawe.
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Ujenzi barabara za Vijijini (MIVAPF) kuimarisha uchumi Pemba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HTnN6EbeGyk/XqKy8913myI/AAAAAAALoCk/pJWoMajy_ZYUODQlFu86GuPdFti3UolggCLcBGAsYHQ/s72-c/3518a6dc-2d15-4141-8719-ae924ae8fc0f.jpg)
madiwani Tandahimba wailalamikia tarura kuhusu ubovu wa Barabara vijijini.
Hatua hiyo wamefikia katika kikao Cha Baraza ambalo limefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Tandahimba
Aidha madiwani wamesema kuwa pamoja na jitihada zinazofanywa na Wilaya dhidi ya kuhakikisha wananchi wao pia watachangia fedha ambazo zitasaidia kununulia vifaa mbalimbali vya kujikinga na uginjea wa Corona
Mbali na Hilo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Daftari la Wapigakura kuboreshwa
11 years ago
Mwananchi03 May
Daftari la wapiga kura kuboreshwa
10 years ago
Habarileo13 Feb
Huduma za afya Z’bar kuboreshwa
WIZARA ya Afya Zanzibar imeeleza azma yake ya kuendelea kuhakikisha kwamba wananchi wa Zanzibar wanapata huduma bora za kinga na tiba bila ya ubaguzi wa aina yoyote.