JK AKABIDHIWA RASMI TUZO YAKE NA WAZIRI MEMBE LEO
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa maelezo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kabla ya kumkabidhi Tuzo ya Heshima ya Kiongozi Mwenye Mchango Mkubwa ziadi katika Maendeleo Barani Afrika kwa mwaka 2013 aliyoipokea kwa niaba ya Mhe. Rais Kikwete tarehe 9 Aprili, 2014 Jijini Washington D.C, Marekani. Heshima hiyo kwa Rais Kikwete ilitolewa na Jarida Maarufu la Kimataifa la African Leadership Magazine...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s72-c/DSC_4403.jpg)
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU
![](http://3.bp.blogspot.com/-IlUX14oJkoE/VoJZY-7_rNI/AAAAAAAAASs/Iz1fKrcaDRI/s640/DSC_4403.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b1A2YvSAAcw/VoJZcRwLIQI/AAAAAAAAAS4/2ZSG905gCwQ/s640/DSC_4409.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA SULUHU AKABIDHIWA RASMI OFISI, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s72-c/2.jpg)
MAKAMU WA RAIS, MAMA SAMIA AKABIDHIWA OFISI RASMI NA DKT. BILAL, AKARIBISHWA RASMI NA WAFANYAKAZI WA OFISI YAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-_tn_B5-bnXQ/VkCYdhNwwqI/AAAAAAAClgM/kmsAWlElv50/s640/2.jpg)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samia Suluhu Hassan, akipokea nyaraka za Ofisi kutoka kwa Makamu wa Rais Mstaafu, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, wakati wa makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam,leo. Picha zote na OMR
![](http://1.bp.blogspot.com/-deH0jjW5Pz8/VkCYe3PyZ4I/AAAAAAAClgU/s1xigYfCttM/s640/01.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Y6Q-okgAQVI/VQb3JvzJWaI/AAAAAAAHKxs/uSl5wiLEfJU/s72-c/CMAG%2BMarch%2B2015%2B6.jpeg)
WAZIRI MEMBE AKUTANA NA MTANZANIA ALIYESHINDA TUZO ZA COMMONWEALTH MJINI LONDON
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y6Q-okgAQVI/VQb3JvzJWaI/AAAAAAAHKxs/uSl5wiLEfJU/s1600/CMAG%2BMarch%2B2015%2B6.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6siPOXhjO4Y/VQb3KMXRD-I/AAAAAAAHKx0/aMInaC_70AA/s1600/CMAG%2BMarch%2B2015%2B7.jpeg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 25 YA UHURU WA NAMIBIA
10 years ago
Michuzi18 May
WAZIRI BERNALD MEMBE KWA MGENI RASMI TAMASHA LA QASWIDA MEI 25
![Q1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/05/Q1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Waziri Bernard Membe kuwa mgeni rasmi tamasha la Qaswida Mei 25
Jumanne Ali Ligopora Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulamaa Qaswida Promotion Centre akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Traveltine Magomeni jijini Dar es salaam wakati akizungumzia mashindano ya kuimba Qaswida yatakayofanyika kwenye viwanja vya shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa mgeni rasmi akiwa Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernald Membe.Tamasha hilo litafanyikaMei 25 kuanzia saa saba mchana, Kulia ni Sheikh Muharami Pembe na kushoto ni Ustaadhi...
10 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AMUAGA RASMI BALOZI WA HISPANIA ALIYEMALIZA MUDA WA KAZI NCHINI
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI