Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE‏

Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

JK ALOPOKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UHOLANZI JIJIJINI THE HAGUE

  Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi Kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania Uholanzi akisoma risala yao
 Rais Kikwete akimpongeza kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania bada ya kusoma risala
 Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi Mhe. William Masilingi akimkaribisha mgeni
 Meza kuu ikifurahia muziki wa Tanzania ulipokuwa unaporomoshwa kuchagiza hafla hiyo Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na...

 

10 years ago

Dewji Blog

JK alipokutana na Watanzania waishio Uholanzi jijini The Hague

Watanzania waishio Uholanzi walikusanyika siku ya Jumatatu Juni 9, 2015 katika hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague kukutana na kumsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa nchini humo kwa mwaliko wa Mfalme Willem-Alexander

 Wajumbe walioongozana na Rais Kikwete katika ziara hiyo  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu ya umati wa Watanzania waishio Uholanzi  Sehemu...

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania waishio Uholanzi wafurahia kukutana na kuagana na JK jijini the Hague

 Sehemu ya Watanzania lukuki waishio Uholanzi waliojitokeza kumuona na kumaga Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika ukumbi wa hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague wakiwa na furaha kwa kupata fursa hiyo adimu Rais Kikwete akisalimiana na Watanzania lukuki waishio Uholanzi waliojitokeza kumuona na kumaga JK katika ukumbi wa hoteli ya Crowne Plaza jijini The Hague  Wakubwa kwa wadogo walikuwepo
 Hongera sana mkuu...Tutakumiss sana mhishimiwa....Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO NJE YA NCHI SASA KUPATA FILAMU ZA KITANZANIA KUPITIA MTANDAO‏


Mheshimiwa Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akisoma hotuba fupi mbele za waandishi wa habari na wageni waalikwa waliohudhuria hafla fupi ya Uzinduzi wa Mpango wa Kuuza Filamu za Proin Mtandaoni.
Mkurugenzi wa Makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza akisoma hotuba fupi kwa Mgeni rasmi ambae pia Ni Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo Mh Dkt Fenella Mukangara wakati wa… ...

 

11 years ago

GPL

MAKAMU WA CCM BARA MH.PHILIP MANGULA AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO BEIJING CHINA‏

Makamu wa ccm bara MH.Philip Mangula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watanzania wanaosoma na kufanya kazi nchini China katika mji wa Beijing baada ya kukutana nao kwa kikao kifupi katika kujadili mstakabali wa wasomi katika ujenzi wa taifa lao.Hii ilifanyika baada ya ziara fupi nchini aliyofanya MH,Mangula mwanzoni wa wiki hii.… ...

 

10 years ago

Michuzi

Ankal na Wadau wa Globu ya Jamii, The Hague, Uholanzi

Ankal (wa pili shoto) akiwa katika picha ya pamoja na wadau wa Globu ya Jamii jijini The Hague, Uholanzi, leo. 

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA WAISHIO BOTSWANA WAVUTIWA NA KUJIUNGA KWA WINGI KATIKA GEPF DIASPORA SCHEME (GDS) ULIOANZISHWA MAALUM KWA WATANZANIA WAISHIO NJE NA MFUKO WA GEPF.

Bw Kisasi mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania waishio Botswana akitoa hotuba ya kumkaribisha mgeni rasmi. Bi Rosemary Chambe Jairo Mkurugenzi kutoka wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa anaeshughulikia dawati la diaspora akifungua rasmi mkutano huo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wachomoza Uholanzi

WACHEZAJI wa Tanzania walioko Uholanzi, Dickson Ambundo na Shiza Yahya, wameanza kuonekana kwa waandaaji wa mashindano ya AEGON Copa Amsterdam. Kwa mujibu wa wakala wa wachezaji hao, Denis Kadito, AEGON...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani