Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK amteua Makalla kuwa RC

mos-MakalaNa Mwandishi Wetu, Dar

RAIS Jakaya Kikwete, amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa wawili wapya na kuwahamisha wengine vituo vya kazi.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, ilisema Rais Kikwete amefanya uteuzi huo kujaza nafasi zilizoachwa wazi na wakuu wa mikoa ambao wanawania ubunge.

Katika uteuzi huo, Rais Kikwete amemteua Amos Makalla kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro na Jordan Rugimbana kuwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi.

Aidha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete amteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai, pia amteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola kuongoza Idara ya Intelijensia ya Jinai

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Kamishna wa Polisi (CP) Diwani  Athumani Msuya, kuwa Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya Jinai (Director of Criminal Investigation).
Kabla ya uteuzi huu CP Msuya alikuwa Kaimu Kamishna wa kamisheni ya Intelijensia ya Jinai. CP Msuya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Ndugu Robert S. Manumba ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria.
Rais Kikwete pia amemteua Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Valentino Mlowola...

 

10 years ago

Mwananchi

JK amteua Profesa Asaad kuwa CAG

Rais Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuanzia Novemba 5, mwaka huu.

 

10 years ago

Mwananchi

JK amteua Dk Kusikuka kuwa Kamishna wa Ardhi

Rais wa Jakaya Kikwete amemteua Dk Moses Kusiluka (42) kuwa Kamishna Ardhi nchini.Taarifa iliyotolewa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, uteuzi huo ulianza Desemba 23.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikwete amteua Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo Must

Rais Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (Must) wakati Profesa Joseph Msambichaka akiteuliwa Makamu Mkuu wa chuo hicho.

 

9 years ago

BBCSwahili

Magufuli amteua Majaliwa kuwa waziri mkuu

Rais wa Tanzania John Magufuli amemteua mbunge wa Ruangwa Majaliwa Kassim Majaliwa kuwa waziri mkuu mpya.

 

9 years ago

Mwananchi

JPM amteua Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu

Rais John Magufuli leo amewasilisha bungeni jina la Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete amteua Masikitiko kuwa bosi mpya TBS

Rais Jakaya Kikwete amemteua Joseph  Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani