JK APIGA KURA MSOGA, KATA YA MSOGA, WILAYA YA BAGAMOYO

Rais Jakaya Kikwete, akipiga kura kijijini kwake Msoga, Chalinze mkoani Pwani Jumapili Oktoba 25, 2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipiga kura ya Rais Mbunge na Diwani katika kituo cha kupiga kura cha hospitali ya kijiji cha Msoga,Kata ya Msoga wilayani Bagamoyo
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziRais Kikwete apiga kura Kijijini Kwake Msoga.
MKE WA...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo
10 years ago
GPL
JK AJIANDIKISHA KUPIGA KURA KWA KUTUMIA BVR KIJIJINI MSOGA JANA, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
Michuzi
JK ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga leo, ZAIDI YA WATU MILIONI 11 WAJIANDIKISHA NCHINI
10 years ago
Dewji Blog09 Jul
Zoezi la uboreshwaji daftari la wapigakura laendelea mkoani Pwani, Rais Jakaya Kikwete ajiandikisha kupiga kura kwa kutumia BVR kijijini Msoga

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo jana.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.

Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya...
10 years ago
Michuzi
JK ASHEREHEKEA MWAKA MPYA KIJIJINI MSOGA



10 years ago
Michuzi
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ajiandikisha Msoga


10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Rais Kikwete asheherekea mwaka mpya kijijini Msoga
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Mama Salma Kikwete, Mbunge wa Chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete wakijumuika na wananchi katika kuukaribisha mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiomba dua pamoja na Mashekhe wa Bagamoyo na wananchi wakati wa hafla ya kumuombea dua katika mkesha wa mwaka mpya kijijini Msoga, Chalinze, Mkoa wa Pwani.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa neno la shukurani kwa Mashekhe wa Bagamoyo na wananchi kwa kumuandalia hafla ya...