JK apiga marufuku kampeni, Ukawa wanasa waraka mzito
Wakati Rais Jakaya Kikwete akipiga marufuku vyama vya siasa na asasi za kiraia kufanya mapema kampeni za kuhamasisha wananchi kuhusu Katiba Inayopendekezwa, Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umenasa waraka wa mkakati wa kutumia Sh2.5 bilioni za umma kuipigia debe katiba hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-pMKecE9pGmI/VdbczYHPGbI/AAAAAAABUMI/cXo-5oJ4Rts/s72-c/Picha%2Bya%2BRC%2BDsm.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM APIGA MARUFUKU MAANDAMANO KATIKA KIPINDI CHA KAMPENI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-pMKecE9pGmI/VdbczYHPGbI/AAAAAAABUMI/cXo-5oJ4Rts/s640/Picha%2Bya%2BRC%2BDsm.jpg)
Jiji la Dar es Salaam limepiga marufu maandamno yeyote ya vyama vya siasa hasa wakati wa kampeni na kwamba kufanya hivyo ni kinyume na sheria na hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa chama au wafuasi wowote watakaobainika kufanya maandamo hayo.Agizo hilo kali kwa wafuasi na vyama vya siasa imekuja siku moja tu kabla ya kuanza kampeni za uchaguzi mkuu, ambapo kwa mujibu wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam vyama vyote vya siasa na wafuasi wao watakaofanya kampeni zao Dar es Salaam hawanabudi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-s4D5iI0Tpvs/XsTX2XnkPUI/AAAAAAALq3o/U-o0gzP4uU4EayJQH7ZDYAdz-LE9FWiWgCLcBGAsYHQ/s72-c/p08djyqt.jpg)
TRUMP AINYUKA WHO WARAKA MZITO
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
RAIS wa Marekani Donald Trump ameendelea kulituhumu Shirika la afya Duniani (WHO) kwa kushindwa kuwa chombo huru katika kupambana na janga la mlipuko wa homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona (Covid-19.) Ambavyo hadi sasa vimesambaa duniani kote na hakuna chanjo wala kinga iliyopatikana hadi sasa.
Kupitia barua aliyoiweka katika ukurasa wake wa mtandao wa Instagram akiielekeza kwa Mkurugenzi wa WHO Dkt. Tedros Adhonom Ghebreyesus Trump ...
10 years ago
Mtanzania05 Nov
Ukawa wadai kunasa waraka wa Ikulu
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kunasa waraka wa Ofisi ya Rais Ikulu unaoonyesha Serikali imetenga Sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kampeni ya kuwezesha Katiba inayopendekezwa ipitishwe kwa kupigiwa kura ya ndiyo katika kura ya maoni.
Katibu Mkuu wa Ukawa ambaye pia ni Katibu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, alidai Dar es Salaam jana kuwa kampeni hiyo itafanywa kupitia vyombo vya habari kuwahamasisha wananchi waweze kupiga kura ya ndiyo na...
9 years ago
Mtanzania14 Aug
IGP apiga marufuku maandamano
Na Asifiwe George, Dar es Salaam
KAIMU Mkuu wa Polisi, Abdulrahman Kaniki, amepiga marufuku maandamano nchi nzima hadi Uchaguzi Mkuu upite, akisema sababu za kiusalama zimewasukuma kufanya hivyo.
Hatua hiyo imekuja zikiwa zimepita siku nne tangu vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kufanya maandamano makubwa ya kumsindikiza mgombea wao wa urais, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, kuchukua fomu ya utezi Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Wakati Kaniki akisema hayo jana saa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jun
IGP apiga marufuku Kigodoro, Kangamoko
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, (IGP) Ernest Mangu, amepiga marufuku vikundi vya ngoma vya Kigodoro, Kangamoko na vingine vinavyokiuka maadili ya kitanzania. Kutokana na hatua hiyo, IGP Mangu amewaagiza...
10 years ago
Habarileo08 Jul
DC apiga marufuku vijana kukaa vijiweni
MKUU wa Wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, Chande Nalicho amepiga marufuku tabia ya baadhi ya watu hasa vijana kutumia muda mwingi kukaa vijiweni kuendekeza mambo ya kisiasa na kuacha kufanya kazi za kujiletea maendeleo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHsfvSQAGruC1AtLyqTkgqeP1jc3aTotgkxvBnoI6ZEQvJydB6zc5uB2JL2Ue5Gnw55TFUKzoPUVzbH*UmK84ENU/loga.jpg?width=650)
Loga apiga marufuku chenga za Messi
10 years ago
Habarileo22 Jan
DC Kahama apiga marufuku matumizi ya visima, kulima
MKUU wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Benson Mpesya amepiga marufuku wananchi wa kijiji namba tisa kata ya Bulyanhulu wilayani hapa kutumia maji ya visima pamoja na kuendesha shughuli za kilimo.
10 years ago
Habarileo22 Feb
Pinda apiga marufuku ukarabati maabara za zamani
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amepiga marufuku ukarabati wa maabara za zamani za shule za sekondari na kusisitiza kwamba ni lazima zijengwe mpya kama ambavyo Serikali ilielekeza.