JK kuongoza maelfu kuombea amani Jumapili Oktoba 4,Makhabane, Mahlangu watua kukoleza utamu
Msanii wa nyimbo za Injili raia wa Uingereza, Ifheanyi Kelechi (katikati) , akiwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam, tayari kutumbuiza katika Tamasha la Amani linalofanyika leo Uwanja wa Taifa Dar. Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotions wanaoratibu tamasha hilo, Alex Msama. Kushoto ni Mratibu, Hudson Kamoga. (Picha na Francis Dande)
RAIS Jakaya Kikwete kesho Jumapili Oktoba 4 anatarajiwa kuwaongoza maelfu ya watanzania katika Tamasha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YGnPr3SiL_s/Vgaelsuy_rI/AAAAAAAC_sg/01SdPE4dhEk/s72-c/IMG_9377.jpg)
RAIS JK MGENI RASMI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-YGnPr3SiL_s/Vgaelsuy_rI/AAAAAAAC_sg/01SdPE4dhEk/s640/IMG_9377.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SdZj-zxNYwU/VgaekIBSsGI/AAAAAAAC_sY/BO5GGDP7kdI/s640/IMG_9371.jpg)
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
MichuziMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
GPLUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA, DAR
9 years ago
Dewji Blog30 Aug
Uzinduzi wa Tamasha la kuombea Amani Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa Jijini Dar
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, waandaaji wa matamasha mbalimbali kama lile la Krismas na Pasaka, Alex Msama (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam jana asubuhi kuhusu uzinduzi wa Tamasha la kuliombea Taifa kuelekea ucahguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu utakaofanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mjumbe wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Benno Chilele (kushoto), akizungumza katika tamasha...
9 years ago
VijimamboUZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Sipho Makhabane kutumbuiza Tamasha la Amani
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E8F_Cu_JKzA/VfSCnrTBwpI/AAAAAAAC_BI/wCmzZD4IMYI/s72-c/Solly-217.jpg)
Solly Mahlangu kuwasha moto Tamasha la Amani
![](http://1.bp.blogspot.com/-E8F_Cu_JKzA/VfSCnrTBwpI/AAAAAAAC_BI/wCmzZD4IMYI/s640/Solly-217.jpg)
9 years ago
Habarileo30 Dec
Rais Magufuli kuongoza mkesha kuombea taifa
RAIS John Magufuli kesho anatarajiwa kuongoza maelfu ya Watanzania katika Mkesha Mkubwa Kitaifa wa Kuombea Amani ya Nchi. Mkesha huo utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na mikoa mingine zaidi ya 10 ikiwa ni pamoja na Zanzibar, utawashirikisha watu wote bila kujali itikadi za kisiasa, dini wala kabila lengo likiwa ni kumshukuru Mungu kwa kuivusha nchi katika Uchaguzi Mkuu kwa amani na utulivu.