Sipho Makhabane kutumbuiza Tamasha la Amani
Mwimbaji mahiri wa muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Sipho Makhabane amekubali kuja Tanzania kutumbuiza kwenye Tamasha la Amani, Oktoba 4 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.
9 years ago
MichuziJK kuongoza maelfu kuombea amani Jumapili Oktoba 4,Makhabane, Mahlangu watua kukoleza utamu
RAIS Jakaya Kikwete kesho Jumapili Oktoba 4 anatarajiwa kuwaongoza maelfu ya watanzania katika Tamasha...
11 years ago
MichuziRebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Muziki
HERIETH FAUSTINE NA ESTHER MNYIKA
WASANII wa ndani na nje ya nchi wanatarajia kutumbuiza katika tamasha la Karibu Music Festival 2015 huku mgeni mwalikwa akiwa ni mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba.
Wasanii wengine wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo ni Jhikolaman, Isha Mashauzi, Damian Soul, Juma Nature, Barnaba, Shilole, mshindi wa pili wa BSS, Nassib Fonabo na bendi yake ya Spirit na wengine wengi.
Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 6 hadi 8 katika viwanja vya...
10 years ago
CloudsFM30 Jan
ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR
11 years ago
Michuzimaandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.
Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...
9 years ago
Bongo502 Nov
Papa Wemba kutumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu, Bagamoyo, Nov 6
11 years ago
GPLMAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA YAKAMILIKA, REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA
10 years ago
Bongo502 Oct
Davido kutumbuiza Dar November 1 kwenye ‘The Climax’ , tamasha jipya la Times FM