Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sipho Makhabane kutumbuiza Tamasha la Amani

Mwimbaji mahiri wa muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Sipho Makhabane amekubali kuja Tanzania kutumbuiza kwenye Tamasha la Amani,  Oktoba 4 kwenye  Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI WA AFRIKA KUSINI SIPHO MWAKABANE KUSHIRIKI TAMASHA LA KUOMBEA AMANI OKTOBA 4 MWAKA HUU.

 Mwenyekiti wa  kamati ya maandalizi ya Tamasha la Amani linalotarajia kufanyika Oktoba 4 kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotions, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam kuhusina na Msanii wa Afrika Kusini,Sipho Mwakabane ambaye atatumbuiza katika tamasha  Oktoba 4 mwaka huu. Pia amesema kuwa msanii huyo wa nyimbo za Injili wa kimataifa. Na kulia ni Mratibu wa Tamasha la kuombea Amani, Hudson...

 

9 years ago

Michuzi

JK kuongoza maelfu kuombea amani Jumapili Oktoba 4,Makhabane, Mahlangu watua kukoleza utamu

 Msanii wa nyimbo za Injili raia wa Uingereza, Ifheanyi Kelechi (katikati) , akiwasili leo kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam, tayari kutumbuiza katika Tamasha la Amani linalofanyika leo Uwanja wa Taifa Dar. Kulia ni Mkurugenzi wa Msama Promotions wanaoratibu tamasha hilo, Alex Msama. Kushoto ni Mratibu, Hudson Kamoga. (Picha na Francis Dande)


RAIS Jakaya Kikwete kesho Jumapili Oktoba 4 anatarajiwa kuwaongoza maelfu ya watanzania katika Tamasha...

 

11 years ago

Michuzi

Rebecca Malope kutumbuiza tamasha la Pasaka

MALKIA wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope ni miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka mwaka huu.   Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa Dar es Salaam jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama ilieleza kuwa msanii huyo amepata kura nyingi kutoka kwa mashabiki waliompendekeza.
“Tunashukuru kwamba baada ya mapendekezo ya mashabiki tuliwasiliana na Rebecca ambaye ameonesha uungwana wa hali ya juu na kutukubalia ombi...

 

9 years ago

Mtanzania

Papa Wemba kutumbuiza Tamasha la Karibu Muziki

papa-wembaHERIETH FAUSTINE NA ESTHER MNYIKA

WASANII wa ndani na nje ya nchi wanatarajia kutumbuiza katika tamasha la Karibu Music Festival 2015 huku mgeni mwalikwa akiwa ni mwanamuziki kutoka Congo, Papa Wemba.

Wasanii wengine wanaotarajiwa kutumbuiza katika tamasha hilo ni Jhikolaman, Isha Mashauzi, Damian Soul, Juma Nature, Barnaba, Shilole, mshindi wa pili wa BSS, Nassib Fonabo na bendi yake ya Spirit na wengine wengi.

Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika Novemba 6 hadi 8 katika viwanja vya...

 

10 years ago

CloudsFM

ALI KIBA KUTUMBUIZA KWENYE TAMASHA LA SAUTI ZA BUSARA,ZANZIBAR

Mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba ametamba kukonga nyoyo watu mbalimbali watakaojitokeza kwenye tamasha la 12 la Sauti za Busara linalotarajia kufanyika, Februari 12 hadi 15, Ngome Kongwe, Zanzubar.Ali Kiba alieleza hayo jana, Januari 29. wakati wa mkutano wa ulioandaliwa na Busara Promotions, wandaaji wa tamasha hilo kubwa la Kimataifa linalofanya muziki wa 'Live', ambapo kwa mwaka huu zaidi ya wanamuziki na vikundi 37, watatoa burudani kwenye tamasha hilo kwenye viunga vya Ngome Kongwe,...

 

11 years ago

Michuzi

maandalizi ya tamasha la pasaka yakamilika,rebecca malope kutumbuiza jijini mwanza.

MKurugenzi wa Msama Promotions Ltd,ambao ndio waandaji wa tamasha la krismass na Pasaka,Bwa.Alex Msama amesema kuwa maandalizi ya tamasha la Pasaka linalotarajiwa kuanza kufanyika jijini Dar mnamo April,20 mwaka huu yamekamilika.


Aakizungumza na Waandishi wa habari jijini dar leo katika viwanja vya Karimjee,Msama amebainisha kuwa kila kitu kimekwishakamilika,wakiwemo wasanii mbalimbali watakaotumbuiza siku hiyo,aidha amesema kuwa pamoja na wanamuziki wa nyumbani kushiriki tamasha hilo,pia...

 

9 years ago

Bongo5

Papa Wemba kutumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu, Bagamoyo, Nov 6

papa-wembaMuimbaji mkongwe wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Papa Wemba, ni mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha la muziki la Karibu litakalofanyika kuanzia November 6 – 8. Tamasha hilo la muziki wa live litafanyika kwenye viwanja vya Mwanakalenge mjini Bagamoyo. Wasanii wengine watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo wanasomeka kwenye poster hiyo chini. Wasanii wa ndani watakaitumbuiza […]

 

11 years ago

GPL

MAANDALIZI YA TAMASHA LA PASAKA YAKAMILIKA, REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA

Mkurugenzi wa Msama Promotions Ltd, ambao ndio waandaji wa tamasha la Krismas na Pasaka, Bwa. Alex Msama akiongea na wanahabari katika Viwanja vya Karimjee, jijini…

 

10 years ago

Bongo5

Davido kutumbuiza Dar November 1 kwenye ‘The Climax’ , tamasha jipya la Times FM

Mshindi wa tuzo za BET 2014 na MTV (MAMA), Davido wa Nigeria anatarajiwa kutua tena Tanzania mwishoni mwa mwezi huu, na tayari imefahamika kuwa mkali huyo atatumbuiza kwenye tamasha jipya la ‘The Climax’ litakalofanyika November 1 jijini Dar. Kwa mujibu wa tovuti ya Times Fm, Tamasha hilo limeandaliwa na kituo cha radio Times Fm na […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani