JK: Sakata la gazeti la The EastAfrican linashughulikwa
Rais Jakaya Kikwete amesema suala la kupigwa marufuku kusambazwa kwa gazeti la The EastAfrican Tanzania, linafanyiwa kazi na taratibu zote zikikamilika, litaruhusiwa
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Serikali yafungia gazeti la The EastAfrican
Gazeti la The EastAfrican limepigwa marufuku kusambazwa Tanzania, ikiwa ni miaka 20 baada ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kuandika habari za ukanda wa Afrika Mashariki.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s72-c/1.jpg)
Ukweli wa Sakata Zima la Richmond Na Jinsi Lowassa Alivyohusishwa na Sakata Hilo
![](http://4.bp.blogspot.com/-kul7ph0BHB4/VWyAeOkw8AI/AAAAAAAAeSA/y5GwpOc6I-A/s1600/1.jpg)
Kwa mara ya kwanza Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowassa amefunguka na kueleza ukweli halisi wa sakata zima la Richmond lililomfanya achukue uamuzi wa kujiuzulu wadhifa wake wa uwaziri mwaka 2008.Katika maojiano maalumu na Mpekuzi,Lowassa amewaka wazi kuwa anapata shida kujua kama tupo makini kusimamia ipasavyo mambo yanayohusu maisha yetu,kwani masihara ya kisiasa yaliyoratibiwa na baadhi ya wabunge ndiyo yaliyosababisha serikali ...
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku TZ
Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa mada ya kutosajiliwa
10 years ago
Mwananchi27 Jan
EU yalaani kufungiwa The EastAfrican
>Siku nne baada ya gazeti la The EastAfrican kufungiwa kwa madai halijasajiliwa nchini Tanzania, Umoja wa Ulaya (EU) umelaani kwa maelezo uamuzi huo unaonyesha walakini uliopo katika suala la uhuru wa habari nchini.
10 years ago
TheCitizen01 Feb
Unban ‘The EastAfrican’: call
The East African Law Society (Eals) has pleaded with the Tanzanian government to lift the ban it imposed recently on the circulation of The EastAfrican newspaper.
10 years ago
TheCitizen27 Jan
EU criticises ban on ‘The EastAfrican’
Dar es Salaam. The European Union has expressed its concern about press freedom in Tanzania after the government banned the circulation of the regional weekly The EastAfrican last week.
10 years ago
TheCitizen03 Feb
US speaks out against ban on ‘The EastAfrican’
>The United States has expressed its concern about the decision by the Tanzanian government to ban the circulation of the regional weekly The EastAfrican.
10 years ago
Vijimambo24 Jan
The EastAfrican lapigwa marufuku Tanzania
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/24/150124131150_eastafrican_512x288_bbc_nocredit.jpg)
Serikali ya Tanzania imepiga marufuku kuchapishwa na kusambazwa kwa gazeti la kila wiki la The EastAfrican kwa madai ya kuwa halijasajiliwa nchini humo.
Hata hivyo Wilfred Kiboro, mwenyekiti wa kampuni ya Nation Media Group, wachapishaji wa gazeti hilo la lugha ya kiingereza, ameeleza kuwa adhabu hiyo haikutarajiwa na wala haistahili na kubainisha kuwa wamekuwa wakisambaza gazeti hilo Tanzania kwa miaka 20 bila matatizo.
Kampuni ya Nation...
10 years ago
TheCitizen30 Jan
‘The EastAfrican’ ban angers IPI
>The International Press Institute (IPI) has condemned the government’s ban on the regional weekly The EastAfrican.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania