JK: Sera mbaya za ubaguzi chanzo cha ugaidi
![](http://4.bp.blogspot.com/-7jaD06Ounc0/VAcWRi9_6UI/AAAAAAAABnU/wtvyoTNqJzw/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
NA MWANDISHI WETU
RAIS Jakaya Kikwete amesema moja ya vyanzo vikubwa vya kuzalisha, kulea na kukuza ugaidi duniani ni sera mbaya za ubaguzi zinazowanyima haki za msingi baadhi ya jamii.
Alisema ni muhimu kwa mataifa mbali mbali duniani kubuni na kutunga sera ambazo zinalenga kutoa nafasi na haki za msingi kwa kila mwanajamii na mwananchi kufurahia sehemu ya keki ya taifa.Rais Kikwete alisisitiza kuwa sera za kichumi na kijamii zina mchango mkubwa katika kukabiliana na kupambana dhidi ya...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii04 Sep
JK ATAJA CHANZO CHA UGAIDI DUNIANI
11 years ago
Mwananchi01 Aug
Uongozi mbaya wa shule chanzo cha ugonjwa wa watoto kupagawa
10 years ago
Mwananchi04 Sep
‘Sera zinazonyima haki zinalea ugaidi’
10 years ago
Vijimambo11 Apr
Waziri Mukangara abaini chanzo vijana kujiingiza ugaidi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Fennela-11April2015.jpg)
Waziri wa Habari, Vijana na Michezo, Dk. Fenella Mukangara, amesema kuwa, kutajwa na kujihusisha vijana wa kitanzania kwenye ugaidi kunatokana na kushawishiwa na kurubuniwa.
Wakati Dk. Fenella akitoa kauli hiyo, tayari vijana wa kitanzania wametajwa kuhusika kwenye matukio ya kigaidi, huku mmoja akidaiwa kuwa miongoni mwa wale walioshambulia Chuo Kikuu cha Garissa kilichopo nchini Kenya na kusababisha vifo vya watu 148.
Katika tukio...
5 years ago
BBCSwahili20 Jun
Mauji ya Tulsa: Kile kilichotokea katika mauaji ya 'Black Wall Street', mojawapo ya uhalifu mbaya zaidi katika historia ya ubaguzi Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oWPxSnpdx81*nEWKnfR3YzfSf-rKjECbrgybhW*Lm71cHR*WwDE5OZ1owfBZc4HOPQOKXfTAK2yAQMGr3bGNgag/secky2.jpg)
FAMILIA YAWEKA WAZI CHANZO CHA KIFO CHA SECKY
10 years ago
GPL17 Feb
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s72-c/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
NASSAR ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI KIJIJI CHA KARANGAI KATIKA JIMBO LA ARUMERU MASHARIKI
Zoezi hilo lilo anza majira ya saa 3 asubuhi na kumalizika majira ya saa 12 jioni ilishuhudiwa Mbunge Nassar akishiriki kazi za mikono ikiwemo kubeba mawe na kuayapanga katika eneo la mto kwa ajili ya ujenzi wa chanzo hicho.Akizungumza katika eneo hilo ,Nassar...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Mbunge Joshua Nassari ashiriki ujenzi wa chanzo cha maji kijiji cha Karangai katika jimbo la Arumeru Mashariki
![](http://2.bp.blogspot.com/-QIFFGR1PhRM/VW_z6LO4NAI/AAAAAAAAQaw/wVTadcD7i5U/s640/11401425_10153393923402938_4064528746182093187_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cKtCfTghbvo/VW_zy1isn_I/AAAAAAAAQaY/R04Q3tcGpTU/s640/11350631_10153393922822938_4279072481082144597_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ePmbIYrDxv4/VW_zzfgT7EI/AAAAAAAAQac/CJiAlEgkTZU/s640/11377205_10153393924747938_7031091485843044706_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2TNsBTjfLHE/VW_z6LAThkI/AAAAAAAAQa4/ABXOdZNxLyc/s640/11391753_10153393923607938_4006811402682417743_n.jpg)