Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK, viongozi wa vyama kukutana Februari 6

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete atazungumza na viongozi wa vyama vya siasa kupitia baraza la vyama vya siasa Februari 6, mwaka huu ili kuwafunda juu ya Bunge la Katiba.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD

Na   Magreth Kinabo, Dodoma
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho  Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
 Kauli  hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John  Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi  wa   katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...

 

10 years ago

Michuzi

kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi

Na: Hassan Hamad, OMKR.
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...

 

10 years ago

Vijimambo

JAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA

 
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi (wa pili kushoto) na baadhi ya wajumbe wa Ofisi hiyo. Kushoto ni msajili wa vyama Zanzibar Bw. Rajab Baraka. (Picha na Salmin Said, OMKR)

Na: Hassan Hamad, OMKR....

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

JK kukutana na vyama vya siasa


Katika hatua nyingine, Rais Kikwete, anatarajiwa kukutana na viongozi wa vyama vinayounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD).
Mwenyekiti wa TCD, John Cheyo, alisema jana kuwa Rais Kikwete atakutana na viongozi wa vyama hivyo wiki hii baada ya ombi lao kukubaliwa.
Viongozi hao waliazimia kutafuta nafasi  ya kuonana na Rais Kikwete kwa lengo la kushauriana naye na tunashukuru amekubali na tutakutana naye wiki hii, alisema Cheyo.
TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni ambavyo ni CCM,...

 

11 years ago

GPL

TMA KUKUTANA NA WANAHABARI KESHO, KUTOA TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YAH: TAARIFA YA MWELEKEO WA HALI YA HEWA KWA MWEZI JANUARI NA FEBRUARI 2014 Tafadhali husika na somo tajwa hapo juu.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania atatoa taarifa ya mwelekeo wa hali ya hewa kwa mwezi Januari na Februari 2014. Taarifa hiyo itatolewa kwa vyombo vya habari Jumanne tarehe 31 Desemba 2013, saa 5 (tano) asubuhi, katika ofisi za Makao Makuu ya Mamlaka ya Hali ya...

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI KUU YA HALMASHAURI KUU YA CCM KUKUTANA DAR ES SALAAM FEBRUARI 28


Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM itakuwa na kikao cha kawaida cha siku moja mjini Dar es Salaam tarehe 28 Februari,2015.TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

 

11 years ago

BBCSwahili

Viongozi wa A.Mashariki kukutana

Viongozi wa Afrika Mashariki wanatarajia kukutana kwa dharura kuijadili Sudani kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani