Viongozi wa A.Mashariki kukutana
Viongozi wa Afrika Mashariki wanatarajia kukutana kwa dharura kuijadili Sudani kusini
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo03 Feb
JK, viongozi wa vyama kukutana Februari 6
RAIS Jakaya Kikwete atazungumza na viongozi wa vyama vya siasa kupitia baraza la vyama vya siasa Februari 6, mwaka huu ili kuwafunda juu ya Bunge la Katiba.
9 years ago
BBCSwahili18 Oct
Kerry kukutana na viongozi Israeli na Palestina
John Kerry, atakutana na waziri mkuu wa Israil, Benjamin Netanyahu na rais wa Palestina, Mahmoud Abbas.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s72-c/D92A7195.jpg)
RAIS KIKWETE KUKUTANA NA VIONGOZI WA VYAMA -TCD
![](http://3.bp.blogspot.com/-vqmvLYk3U64/U_zsypEDbvI/AAAAAAAGCkM/g1mGrrScTII/s1600/D92A7195.jpg)
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuonana na Viongozi wa Vyama vya Siasa vinavyounda Kituo cha Demkrasia Tanzania(TCD) kabla ya mwisho wa wiki kwa lengo la kushauriana.
Kauli hii imetolewa na Mwenyekiti wa TCD,Mhe. John Cheyo mjini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa katika ukumbi wa mikutano wa ofisi za Bunge.
Mhe. Cheyo alisema Rais Kikwete amekubali kuonana nao kufutia kikao chao walichokaa kwa pamoja...
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wanawake viongozi wa michezo Afrika kukutana Dar es Salaam
WIZARA ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kwa kushirikiana na Asasi ya Right to Play Tawi la Tanzania, wameandaa kongamano la wanawake viongozi wa michezo Afrika (Africa Women Sports Leaders),...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s72-c/IMG_8985.jpg)
URUWA WAOMBA KUKUTANA NA VIONGOZI WA ZAC, CUF,CCM NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s640/IMG_8985.jpg)
Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na viongozi wa mashirkiano ya umoja wa vyama vya UDA, TADEA,UDP,UPDP,na SAU kwa kuwaomba viongozi wa ZEC,CUF,CCM na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili waweze kukutana na kuzungumza pamoja kuhusiana na migoro wa kisiasa nchini humo, ameyasema leo jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nHNqjMbdGUw/VnkvR5LpSpI/AAAAAAAIN1M/Vf2q1ae2-I0/s640/IMG_8949.jpg)
9 years ago
Michuzikuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana - Jaji Mutungi
Na: Hassan Hamad, OMKR.
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, amesema kuna umuhimu kwa viongozi wa vyama vya siasa Zanzibar kukutana, ili kutatua mzozo wa kisiasa uliojitokeza.
Amesema Zanzibar ni nchi amani, hivyo hakuna haja ya kuruhusu migogoro ya aina hiyo ambayo inaweza kupelekea kuvurugika kwa amani na kuipotezea sifa Zanzibar katika jamii ya Kimataifa.
Jaji Mutungi akiambatana na baadhi ya wajumbe wa ofisi hiyo ya msajili pamoja na msajili wa vyama kwa upande wa...
9 years ago
VijimamboJAJI MUTUNGI - KUNA UMUHIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA ZANZIBAR KUKUTANA
Msajili wa vyama vya siasa Tanzania Jaji Francis Mutungi, akizungumza na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, nyumbani kwake Mbweni Zanzibar.
Na: Hassan Hamad, OMKR....
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-NUZEUpmMCR4/U9Y-32CH_II/AAAAAAAF7XM/5N7QzyIjyZM/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Obama kukutana leo viongozi wadogo walioonyesha dira toka nchi zote za Afrika jijini Washington DC
![](http://3.bp.blogspot.com/-NUZEUpmMCR4/U9Y-32CH_II/AAAAAAAF7XM/5N7QzyIjyZM/s1600/unnamed+(18).jpg)
9 years ago
BBCSwahili01 Dec
BAT 'iliwahonga' viongozi Afrika Mashariki
Uchunguzi wa BBC umegundua kuwa kampuni ya kutengeneza sigara ya British American Tobacco (BAT) imekuwa ikitoa hongo kwa viongozi wakuu serikalini katika mataifa ya Afrika Mashariki
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania