Joh Makini aeleza msimamo wake kisiasa
Joh Makini amewataka wananchi na mashabiki kuwachukulia kawaida wasanii walioonesha itikadi zao za vyama vya siasa kwakuwa ni haki yao ya msingi kama watu wengine. Akizungumza na Planet Bongo leo, Joh Makini alisema yeye ameamua kukaa pembeni kama mwananchi wa kawaida. “Katika siasa mimi nasimama kama mwananchi wa kawaida,” alisema. “Unajua kila mtu ana haki […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo522 Dec
Joh Makini aeleza alichokuwa amepanga kufanya kama AKA asingetokea wakati wa kushoot video ya ‘Don’t Bother’
![Johmakini.1](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/09/Johmakini.1-300x194.jpg)
Tumekuwa tukishuhudia baadhi ya wasanii wakilazimika kushoot video bila wasanii waliowashirikisha kwenye nyimbo zao, kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo wasanii walioshirikishwa kukosa muda wa kushiriki kwenye video, au kushindwa kuelewana au tu kuamua kuzingua.
Ili kukabiliana na changamoto kama hizo, rapper wa Weusi Joh Makini alijipanga kikamilifu wakati anaenda Afrika Kusini kushoot video ya collabo yake na AKA ‘Don’t Bother’.
Joh amesema kuwa aliandaa version mbili ya wimbo huo ili...
10 years ago
Mwananchi12 Aug
NYANZA: Mgeja kuzungumzia msimamo wake kisiasa
10 years ago
Bongo523 Dec
Joh Makini aizungumzia video ya ‘I See Me’ baada ya ubora wake kukosolewa
9 years ago
Bongo514 Nov
Unapenda kufahamu collabo ya Joh Makini na Davido imefikia wapi? Joh afunguka
![joh davido](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/joh-davido-300x194.jpg)
Kama unawasiwasi juu akiba ya collabo za kimataifa alizonazo John Simon Mseke a.k.a Joh Makini, ondoa hofu kwasababu ile collabo yake na nyota wa Nigeria, David Adedeji Adeleke a.k.a DaVIDO imeshaingizwa kwenye computer ya studio ya The Industry.
Davido anamkubali sana Joh Makini, na alithibitisha hilo September 18, 2015 alipovujisha taarifa ambayo muda wake ulikuwa bado, kuhusu yeye na rapper wa ‘Don’t Bother’, Joh Makini kufanya collabo.
Bongo5 ilipomtafuta Joh Makini wakati huo...
5 years ago
Bongo Movies02 Mar
VideoMPYA: Nikki wa II ft. Joh Makini & S2kizzy ‘hesabu’ Joh Mwalimu.. Wanafunzi ni Ebitoke, Ben Pol, Quick na wengine
Unakaribishwa kuitazama ngoma mpya ya Nikki wa Pili ambayo amewashirikisha Joh Makini na S2Kizzy inaitwa ‘hesabu’ ambapo humo ndani Joh Makini amecheza kama Mwalimu huku Wanafunzi darasani wakiwa ni Ebitoke, Ben Pol, Quick Rocka, Linah na wengine
11 years ago
GPL25 Jun
10 years ago
Jamtz.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-H6WV--261DI/VIlwW7nsvsI/AAAAAAAABR8/dY7rMT5rLt8/s72-c/Joh%2BMakini%2BXO%2B(1).jpg)
10 years ago
Bongo511 Dec
New Music: Joh Makini Ft G Nako — Xo
10 years ago
Bongo519 Dec
New Video: Joh Makini Ft. Gnako — XO