Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYANZA: Mgeja kuzungumzia msimamo wake kisiasa

Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Shinyanga, Khamis Mgeja amesema bado hajaamua kuhama chama hicho au atabaki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Joh Makini aeleza msimamo wake kisiasa

Joh Makini amewataka wananchi na mashabiki kuwachukulia kawaida wasanii walioonesha itikadi zao za vyama vya siasa kwakuwa ni haki yao ya msingi kama watu wengine. Akizungumza na Planet Bongo leo, Joh Makini alisema yeye ameamua kukaa pembeni kama mwananchi wa kawaida. “Katika siasa mimi nasimama kama mwananchi wa kawaida,” alisema. “Unajua kila mtu ana haki […]

 

10 years ago

Mwananchi

NYANZA: Baba atuhumiwa kumuua mtoto wake, kisa mahari

Mkazi wa Kijiji cha Imwelo, Kata ya Buseresere, wilayani Chato mkoani Geita, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumuua mtoto wake, Pole Faida (26) kwa kushirikiana na kaka yake.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yatetea msimamo wake

Vladmir Putni ametetea uamuzi wa Urusi wa kuingilia kijeshi nchini Syria akisema hatua hiyo itasaidia kuleta mazingira ya kurejesha suluhisho la kisiasa nchini humo.

 

10 years ago

Habarileo

ACT yashikilia msimamo wake

Katibu Mkuu wa Chama cha ACT, Samson Mwigamba akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wa chama chao wa kutowarudisha kwenye nafasi zao za uongozi wanachama watatu waliosimamishwa kushika nyadhifa hizo. Kulia ni Katibu wa Mawasiliano na Uenezi wa chama hicho, Msafiri Mtemelwa, Ofisa Uchaguzi na Mipango, Abdulwakil Rushaka na Ofisa Utawala, Emmanuel Kitundy. (Picha na Fadhili Akida).CHAMA cha Alliance for Change and Trasparency (ACT – Tanzania) kimesema kuwa hakiko tayari kuwarudisha madarakani viongozi waliowavua nyadhifa zao, japokuwa msajili wa vyama vya siasa Jaji Francis Mutungi amewaagiza wafanye hivyo.

 

9 years ago

Michuzi

JUMA NATURE AELEZEA MSIMAMO WAKE WA KUFANYA KAMPENI

Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva Juma Nature leo alikua akiongea na Waandishi wa Habari juu ya Ufanyaji kazi wake katika kipindi hiki cha kampeni Ambapo aliongozana na Mgombea Ubunge jimbo la Mbagala ambaye ni rafiki mkubwa na jirani wa msanii huyo Ndg Issa Mangungu. Juma nature kwa sasa amerudi kufanya kampeni na chama cha mapinduzi CCM na ameamua kuelezea nia ya kurudi CCM baada ya mashabiki kumuona katika Majukwaa mengine ya vyama vya kisiasa. 
 Nature amesema kuwa mziki ambao anaufanya ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je,Trump yuko mashakani kwa msimamo wake kuhusu ubaguzi wa rangi?

Je changamoto hizi za maandamano dhidi ya ubaguzi zina uwezekano wa kumfanya Trump kuwa na nafasi ndogo kuchaguliwa tena?

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Kenya yabadili msimamo wake wa kuwarudisha nyumbani wanafunzi waliopo Wuhan China

Serikali ya Kenya imesema kwamba haitawarudisha nyumbani wanafunzi 75 wa Kenya walio mjini Wuhan China kufuatia mlipuko wa virusi vya Corona

 

5 years ago

Michuzi

RAIS MAGUFULI AWA GUMZO KILA PEMBE YA DUNIA, MSIMAMO WAKE KUHUSU CORONA WAKUNA WENGI

Na Sultani Kipingo wa Michuzi TVRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amekuwa gumzo kubwa sana duniani kwa siku kadhaa sasa toka aongee mjini Chato wakati wa hafla fupi ya kumwapisha Mhe. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria akichukua nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Augustine Mahiga aliyefariki Ijumaa iliyopita.

Vyombo vya habari vyote vikubwa duniani, kama vile televisheni  za CNN, Al Jazeera, Sky News, BBC, CBS, DW, VOA pamoja na magazeti ya New York...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza latoa msimamo wake juu ya suala la mita 200 baada ya kupiga kura

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza, Kamishina Msaidizi wa Polisi Charles Mkumbo akiongea na Waandishi wa Habari Ofisini kwake jana ambapo alitoa msimamo wa jeshi hilo juu ya suala la wananchi kubaki mita 200 kutoka vilipo vituo vya kupigia kura baada ya kupiga kura siku ya jumapili Octoba 25,2015 ikiwa ni siku ambayo Watanzania watashiriki katika zoezi la Uchaguzi Mkuu wa Kuwachagua Wawakilishi wao kuanzia ngazi ya Madiwani, Wabunge na Rais.

Na:George Binagi-GB Pazzo, BMG

Kamanda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani