Jordan yathibitisha kifo cha Rubani wake
Jordan imethibitisha kifo cha rubani Moaz al-Kasasbeh baada ya picha ya video kuchapishwa katika mtandao na kikundi cha Islamic State
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Jordan yalipiza kisasi cha rubani wake
10 years ago
BBCSwahili03 Feb
Rubani wa Jordan Moaz al-Kasasbeh auawa
11 years ago
Dewji Blog02 Jul
Wizara ya Mambo ya Nje yathibitisha kifo cha balozi wa Libya aliyejipiga risasi usiku wa kuamkia leo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Benard Membe.
Na Mwandishi wetu.
Balozi wa Libya nchini Mh. Ismail Nwairat amefariki dunia jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo baada ya kujipiga risasi ya kifuani upande wa kushoto akiwa ofisini kwake.
Taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa ilisema kuwa, ilipokea taarifa kutoka kwenye Ubalozi huo kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat amefariki dunia kwa kujipiga risasi.
Hata...
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Pistorius ajutia kifo cha mpenzi wake
9 years ago
StarTV28 Nov
 Kifo Cha Alphonce Mawazo Mwili wake kuagwa leo Furahisha Mwanza
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na baadae kusafirishwa kupelekwa mkoani Geita kwa maandalizi ya mazishi.
Mwili huo ulitakiwa kuagwa jumamosi iliyopita zoezi ambalo lilikwama baada ya zuio la jeshi la polisi mkoani Mwanza kabla ya mahakama kuu kutengua pingamizi hilo mapema jana.
Viongozi wa CHADEMA wamekutana na wanahabari jijini Mwanza kuwaeleza...
11 years ago
CloudsFM29 May
JAFARAI AFUNGUKA KUWA MUZIKI WAKE UMETIKISIKA BAADA YA KIFO CHA ALBERT MANGWEA
Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka kundi la wateule jafarai jafarhymes amefunguka kuwa muziki wake umekuwa katika hali ‘tete’baada ya kifo cha aliyekuwa msanii mwenzake wa muziki huo marehemu Albert Mangwea’Ngwea’ ambaye leo ametimiza mwaka mmoja tangu afariki dunia.
Jafarai muziki wake umesimama kutokana na kuwa na mazoea ya kufanya kazi zake kwa kushirikiana na msanii huyo, ngoma ya mwisho ya Jafarai kutoka ilikua Blaa Blaa iliyotoka zaidi ya mwaka mmoja uliopita.Jafarai huyu hapa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3c*Y5MK2uN0mXICkOolo1WCXw1-L1G7gYGV6Vg4t*h4VGvEQxFAuJYQBNmCFz4YLrOJrgB*DNccAEQAzoCfzF5V/001.jpg?width=650)
UONGOZI WA AZANIA BENKI UNATANGAZA KIFO CHA MFANYAKAZI WAKE,LILIAN PEPPI GONDWE
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Coronavirus: Congo DRC yathibitisha kisa cha kwanza cha virusi vya Corona