Pistorius ajutia kifo cha mpenzi wake
Mwaka 1 baada ya Oscar Pistorius kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp, amezungumzia majuto na masikiti yake kuhusu kifo cha Steenkamp
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s72-c/lulu-pic.jpg)
LULU AFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM KUFUATIA KIFO CHA MTU ALIYEDAIWA KUWA MPENZI WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-tbqUI0THa5g/VTDZ7d9g1NI/AAAAAAABLy4/Gwb18HlInQ4/s1600/lulu-pic.jpg)
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo...
9 years ago
Bongo503 Dec
Oscar Pistorius apatikana na hatia ya kumuua mpenzi wake
![1161338_965574](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/1161338_965574-300x194.jpg)
Mahakama ya rufaa ya nchini Afrika Kusini, Alhamis hii imempata Oscar Pistorius na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Jaji Eric Leach alitangaza kuwa rufaa ya serikali kwenye kesi ya Pistorius imefanikiwa. Jaji huyo ameirudisha kesi hiyo kwenye mahakama ya chini ili itoe hukumu mpya.
Pistorius, 29, alimpiga risasi girlfriend wake aliyekuwa na miaka 29 nyumbani Pretoria, February 14, 2013. Alidai kuwa alimpiga akidhania ni jambazi aliyevamia nyumbani kwake.
Baada ya uamuzi huo,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz63LrzXstWDG1mSf6k6tF9luoEjw*AiyQt8fRTijtUuIRCLXn6JfC5Jqr1EcDW-vPBptkMfLWRnBWXLUB73Nk3jd/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*EqvtGjmCN6utq0XlNSu74jiUm9WDxVf4rweZ7bVeB1jaiLo4woX3zctwRHqU7PN3d-gHJ8lEAmkAIz2wVhw-w485OY01-a1/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycRGEu1HQewzepKqjUEixPglD57QIEIjkgh9kd2qiA7fr3FIHwcxTGhGFJWcIXwLXfvmGSb5YQL4syyvxUhD-emQ/mahaba.jpg)
NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-2
10 years ago
BBCSwahili04 Feb
Jordan yathibitisha kifo cha Rubani wake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s72-c/imrs.jpg)
News alert: Oscar Pistorius ahukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani kwa kumuua bila kukusudia girlfiend wake
![](http://4.bp.blogspot.com/-BXOqGHe_EAI/VEYgTL9ulxI/AAAAAAAGsJM/ShIyMnOI2Qw/s1600/imrs.jpg)
Mwanariadha huyo asiye na miguu aliyeshangaza ulimwengu katika michuano ya Olympic mwaka 2012, amehukumiwa kifungo cha miaka 5 gerezani na Jaji wa Afrika ya Kusini asubuhi hii, katika hatua inayofikisha tamati mlolomngo wa muda mrefu wa kesi hiyo iliyokuwa ikifuatiliwa kwa karibu ulimwenguni kote
Pistorius alipatikana na hatia ya kuua bila kukusudia mnamo Septemba 12, mwaka huu, kwa kumtoa...
9 years ago
StarTV28 Nov
 Kifo Cha Alphonce Mawazo Mwili wake kuagwa leo Furahisha Mwanza
Mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA mkoani Geita Alphonce Mawazo unatarajiwa kuagwa leo katika viwanja vya Furahisha jijini Mwanza na baadae kusafirishwa kupelekwa mkoani Geita kwa maandalizi ya mazishi.
Mwili huo ulitakiwa kuagwa jumamosi iliyopita zoezi ambalo lilikwama baada ya zuio la jeshi la polisi mkoani Mwanza kabla ya mahakama kuu kutengua pingamizi hilo mapema jana.
Viongozi wa CHADEMA wamekutana na wanahabari jijini Mwanza kuwaeleza...
11 years ago
CloudsFM29 May
JAFARAI AFUNGUKA KUWA MUZIKI WAKE UMETIKISIKA BAADA YA KIFO CHA ALBERT MANGWEA
Msanii mkongwe wa Bongo Flava kutoka kundi la wateule jafarai jafarhymes amefunguka kuwa muziki wake umekuwa katika hali ‘tete’baada ya kifo cha aliyekuwa msanii mwenzake wa muziki huo marehemu Albert Mangwea’Ngwea’ ambaye leo ametimiza mwaka mmoja tangu afariki dunia.
Jafarai muziki wake umesimama kutokana na kuwa na mazoea ya kufanya kazi zake kwa kushirikiana na msanii huyo, ngoma ya mwisho ya Jafarai kutoka ilikua Blaa Blaa iliyotoka zaidi ya mwaka mmoja uliopita.Jafarai huyu hapa...