Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jose Mourinho huenda akajikuta matatani tena

Kocha wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho, huenda akajikuta amejiweka tena matatani kwa kumtolea lugha ya kashfa muamuzi, Damir Skomina, aliyechezesha mechi yao ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi Dynamo Kiev ambapo mechi iliishia kwa sare ya bila kufungana. Mourinho alichukizwa na muamuzi huyo baada ya kuinyima timu yake penati ya wazi baada ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Jose Mourinho matatani

Jose Mourinho ashtakiwa kwa utovu wa nidhamu.

 

10 years ago

Vijimambo

MCHUMBA WA BOBBI KRISTINA HUENDA AKAWA MATATANI


Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi Kristina alikutwa na michubuko ambayo bado haijajulikana imetokana na nini japo bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi wa jimbo la Georgia.

Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi wawili. Vijimambo imepata taarifa Max Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua Bobbi Kristina akiwa...

 

10 years ago

GPL

JOSE MOURINHO HAKUNAGA

Mashabiki wa timu ya Chelsea wakiwa wamebeba bango la kumsifia, Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho. LONDON, England
MWACHE Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho atembee kifua wazi na kutamba katika mitaa mbalimbali ya Jiji la London, kwani ni miongoni mwa makocha wachache wageni waliopata mafanikio England. Sifa kubwa ya kocha huyu raia wa Ureno ni maneno mengi yenye kejeli, dharau, majigambo na mambo mengine mengi ambayo hugeuka na...

 

9 years ago

Mtanzania

Kauli yamponza Jose Mourinho

Jose MourinhoLONDON, ENGLAND

CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.

Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.

Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.

FA imesema kuwa ina uwezo wa...

 

9 years ago

Bongo5

FA yampa adhabu Jose Mourinho

Chama cha soka cha England FA, kimempa adhabu meneja wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho kutokana na utovu wa nidhamu. Mourinho amefungiwa mechi moja na kupigwa faini ya pauni 50,000 kwa maoni yake dhidi ya maafisa wa mechi. Mourinho alidai kuwa maafisa walikuwa waoga kuipa timu yake penati baada ya Robert Madley kuikatalia penati Chelsea […]

 

9 years ago

Africanjam.Com

JOSE MOURINHO'S WORSE WEEK EVER


Chelsea manager Jose Mourinho's week from hell concluded in a fitting manner as he suffered the misery of watching his Premier League champions comprehensively dismantled by Manchester City.The start of Chelsea's title defence has been overshadowed by the behind-the-scenes manoeuvring that saw Mourinho remove medical staff Eva Carneiro and Jon Fearn from their touchline roles after infuriating the manager by entering the Stamford Bridge playing surface to attend to Eden Hazard in the 2-2...

 

10 years ago

GPL

JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA

Jose Mourinho akiwa na Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. KOCHA wa Chelsea, Jose Mourinho amesaini mkataba wa miaka minne kuendelea kuifundisha timu hiyo ya London. Mkataba huo wa Mourinho utamfanya aweke kibindoni kiasi cha Pauni milioni 8.5 kwa mwaka. Taarifa zimeeleza kuwa Mourinho ameongezewa mkataba huo baada ya kutwaa Kombe la Ligi Kuu ya England msimu uliopita. Katika msimu huo uliopita, Mourinho alitwaa pia...

 

9 years ago

Mtanzania

Jose Mourinho ataka kuifundisha Arsenal

MourinhoLONDON, ENGLAND

KOCHA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho amesema hana mpango wa kuondoka jiji la London na kama akiondoka katika klabu hiyo basi atajiunga na klabu ya Arsenal ya jijini humo.

Kocha huyo bado ana imani ya kuendelea kuifundisha Chelsea kwa muda mrefu, japokuwa klabu hiyo imeanza vibaya katika michuano ya Ligi Kuu nchini England, hata hivyo, anaamini kuwa anaweza kuwa kocha wa Arsenal baada ya Arsene Wenger kuondoka.

“Ngoja niweke wazi, ipo siku nitakuja kuondoka Chelsea na kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani