Jose Mourinho huenda akajikuta matatani tena
Kocha wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho, huenda akajikuta amejiweka tena matatani kwa kumtolea lugha ya kashfa muamuzi, Damir Skomina, aliyechezesha mechi yao ya ligi ya mabingwa barani Ulaya dhidi Dynamo Kiev ambapo mechi iliishia kwa sare ya bila kufungana. Mourinho alichukizwa na muamuzi huyo baada ya kuinyima timu yake penati ya wazi baada ya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
10 years ago
Vijimambo07 Feb
MCHUMBA WA BOBBI KRISTINA HUENDA AKAWA MATATANI
![](http://www.crazydaysandnights.net/wp-content/uploads/2015/02/bk2.jpg)
Habari ambazo Vijimambo imezipata, Bobbi Kristina alikutwa na michubuko ambayo bado haijajulikana imetokana na nini japo bado Polisi wanaendelea na uchunguzi ikiwa Nick Gordon na rafiki yake waliokuwepo kwenye tukio wakiwa wamehojiwa na polisi wa jimbo la Georgia.
Polisi inajaribu kutafuta saa moja kabla ya Bobbi Kristina kukutwa bafuni ni nini kilichokua kikiendelea kati ya hao wapenzi wawili. Vijimambo imepata taarifa Max Lomas rafiki ya wawili hao aliyemgundua Bobbi Kristina akiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eoZ5qo4qa6pEoU2cJ1I0*xH4AZuFrGkKpMD8PBUMovJBHuzRqtxat4RsuWcENGsbGSf6gWnPQ8yD5hTzcCDHiF2wnDzLwvlO/url.jpg?width=650)
JOSE MOURINHO HAKUNAGA
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Kauli yamponza Jose Mourinho
LONDON, ENGLAND
CHAMA cha Soka England (FA), kimemfungia mchezo mmoja kuingia uwanjani na faini ya pauni 50,000 kocha wa timu ya Chelsea, Jose Mourinho.
Adhabu hiyo imekuja baada ya kocha huyo kukutwa na kosa la kuvunja kanuni za FA inayohusiana na maelezo yake ya mwisho wa mchezo walipofungwa na Southampton mabao 3-1.
Mourinho alikutwa na kosa la kumbwatukia mwamuzi wa mchezo huo, akidai kuwa aliwaua baada ya kuwa na ‘hofu ya kutoa maamuzi kwa Chelsea’.
FA imesema kuwa ina uwezo wa...
9 years ago
Bongo515 Oct
FA yampa adhabu Jose Mourinho
9 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-BWmxv8oEHP8/VdIuRZ6SjrI/AAAAAAAADUg/VRpiN8cojJg/s72-c/_84922311_josemourinho.jpg)
JOSE MOURINHO'S WORSE WEEK EVER
![](http://3.bp.blogspot.com/-BWmxv8oEHP8/VdIuRZ6SjrI/AAAAAAAADUg/VRpiN8cojJg/s1600/_84922311_josemourinho.jpg)
Chelsea manager Jose Mourinho's week from hell concluded in a fitting manner as he suffered the misery of watching his Premier League champions comprehensively dismantled by Manchester City.The start of Chelsea's title defence has been overshadowed by the behind-the-scenes manoeuvring that saw Mourinho remove medical staff Eva Carneiro and Jon Fearn from their touchline roles after infuriating the manager by entering the Stamford Bridge playing surface to attend to Eden Hazard in the 2-2...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt42Tdu2A*VY5D3hYkdK8MRWZwsyeGjOUoBg7Ck74ef4g5O4NudAokORX75fizyCj9hVHGJK1ipc12jz*nTTOGsg/JOSE.jpg)
JOSE MOURINHO AONGEZA MIAKA 4 CHELSEA
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Jose Mourinho ataka kuifundisha Arsenal
LONDON, ENGLAND
KOCHA wa klabu ya Chelsea, Jose Mourinho amesema hana mpango wa kuondoka jiji la London na kama akiondoka katika klabu hiyo basi atajiunga na klabu ya Arsenal ya jijini humo.
Kocha huyo bado ana imani ya kuendelea kuifundisha Chelsea kwa muda mrefu, japokuwa klabu hiyo imeanza vibaya katika michuano ya Ligi Kuu nchini England, hata hivyo, anaamini kuwa anaweza kuwa kocha wa Arsenal baada ya Arsene Wenger kuondoka.
“Ngoja niweke wazi, ipo siku nitakuja kuondoka Chelsea na kama...