Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUDY NA MARY WASHEREHEKEA SIKU YAO YA KUZALIWA

Judy na Mary wakiwa katika picha ya pamoja walipokutana kwenye sherehe ya siku yao ya kuzaliwa siku ya Jumamosi July 11, 2015 siku ambayo ni tarehe yao ya kuzaliwa.Judy akibadilishana mawili matatu na Aunty Wahida, Mapenzi na Mary mara tu walipokutana.Judy na Mary wakiwa katika picha ya pamoja.
Familia ya Judy wakipata picha ya kumbukumbu.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA GLOBAL WASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA MWENZAO, MARTHA MBOMA

Mfanyakazi wa Global Publishers, Martha Mboma (kushoto) akilishwa keki na Glory Massawe (kulia). Keki iliyoandaliwa kwenye siku ya kuzaliwa kwa Marta Mboma.…

 

10 years ago

Vijimambo

AKINA MAMA WA MENNESOTA WASHEREHEKEA SIKU YAO KWA MBWEMBWE

Mama akipiga ngoma kwa ustadi kabisa siku ya akina mama dunia huko pande za Minnesota  Akina mama usharika wa kiswahili wakimsikiliza mama mwenzao katika sherehe za siku ya akina mama duniani.
 Akina mama wakipa ukodak kwenye sherehe hiyo Akina baba nao walikuwepo kwani palipo akina mama akinababa uwepo kutoa support. Mama akismile mbele ya ukodak kiroho safi

 

10 years ago

Vijimambo

WATOTO LISHA SHARIF NA WILLIAM RAMADHAN WASHEREHEKEA SIKU ZAO ZA KUZALIWA BOWIE, MARYLAND NCHINI MAREKANI.

Mtoto Lisha Sharif akiwa kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa ya kufikisha miaka 12, siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 iliyofanyika nyumbani kwao Bowie, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa ndugu, jamaa na marafiki waiwemo wanafunzi wenzake waliofika kusherehekea nae siku hiyo maalum katika historia ya maisha yake.Mtoto William Ramadhan  akiwa kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa ya kufikisha miaka 8, siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 iliyofanyika nyumbani kwao Bowie, Maryland...

 

5 years ago

Hollywood Reporter

Judge Judy Ending After 25 Seasons; New Show Judy Justice in the Works

Judge Judy Ending After 25 Seasons; New Show Judy Justice in the Works  Hollywood Reporter‘Judge Judy’ Will End After 25 Seasons, As Judy Sheindlin Preps New Show  Variety'Judge Judy' Ending After 25 Seasons  TVLineJudge Judy Ending After 25 Seasons  Comicbook.comJudge Judy to end after 25 years on the air as Judy Sheindlin pulls the plug  7NEWS.com.auView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB WASHEREHEKEA SIKU YA FAMILIA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei akifafanua jambo wakati wa Sherehe za Siku ya Familia iliyofanyika katika hoteli ya Kunduchi.Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kulia mstari wa nyuma) na Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu wa benki hiyo, Dorah Ngaliga wakiwa katika picha ya pamoja na watoto waliohudhuria tamasha la ‘Family Day’ lililowashirikisha wafanyakazi wa benki hiyo pamoja na familia zao. Tamasha hilo lilifanyika Kunduchi Wet 'N'...

 

10 years ago

Michuzi

Mdau Innocent Mwesiga na Mkewe Carretta Mwesiga washerehekea miaka 10 ya ndoa yao

001_resized_5 (1)Juu na chini mwandishi wa makala katika safu ya Waraka kutoka Houston ndani ya gazeti la Raia Mwema, Innocent Mwesiga, Pharm.D na mke wake Carretta Mwesiga, FNP wakifurahia miaka 10 ya ndoa yao hivi karibuni katika visiwa vya Bahamas. (Kutoka blog hii tunawapa hongera sana) 002_resized_6(Picha kwa hisani ya Sunday Shomari).

 

10 years ago

Bongo5

Zari: Sijawatelekeza watoto wangu, ninakaa nao siku 300, baba yao siku 65

Mrs Diamond Platnumz, Zari Ttale aka The Bosslady amesema hajawatelekeza watoto wake tofauti na watu wengi wanavyomshutumu kwakuwa siku za hivi karibuni amekuwa akiongozana na mpenzi wake huyo mpya. Zari amesema katika mwaka hukaa na wanae kwa siku 300 na zingine zilizosalia hukaa kwa baba yao ambaye walishaachana. “That awkward moment when everyone thinks you […]

 

11 years ago

Michuzi

wanahabari lindi washerehekea siku ya uhuru wa habari kwa kupima afya na kutoa misaada hospitali

WANAHABARI mkoa wa Wa Lindi wakiongozwa na Mwenyekiti wao Bw Abdulaziz Ahmeid wameadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani kwa kutoa msaada kwa jamiii baada ya kutoa msaada wa Vifaa mbalimbali katika wodi za wazazi na watoto katika Hospital ya Rufaa ya Sokoine Mkoani Lindi Wanahabari hapo pia walipimwa afya zao na  Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya mkoani humo ili kila mmoja afanye kazi zake huku akijua Afya yake   Akiongea baada ya hafla hizo Bw. Abdulaziz Ahmeid alieleza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani