Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jukata yamhadharisha JK

>Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), limemtahadharisha Rais Jakaya Kikwete asiingie kwenye mtego wa wanasiasa wa chama chake cha CCM wanaoiponda Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa bungeni Jumatatu kwa kuwa ndiyo iliyobeba maoni ya wananchi

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jukata yatafuta suluhu

Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata) limeandaa mpango wa kusaka suluhu ya mvutano uliopo miongoni mwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na wale wanaounga msimamo wa CCM.

 

10 years ago

Mtanzania

Jukata: Sitta, Werema maadui wa Katiba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania Bw, Deus Kibamba

Na Michael Sarungi, Dar es Salaam

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema ni maadui waliosababisha mchakato wa upatikanaji wa Katiba Mpya kuharibika.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Jukata, Deus Kibamba, alisema viongozi hao kwa nyakati tofauti kwa kutumia nyadhifa zao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ipasavyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JUKATA kutoa tamko rasimu ya katiba

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) linatarajia kutoa tamko kuhusiana na rasimu ya pili ya katiba baada ya kukutana kwa wiki nzima. Akizungumza na Tanzania Daima jana kwa njia ya simu,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jukata: Rais Kikwete si refa mzuri

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema Rais Jakaya Kikwete, amepoteza urefa aliouvaa wakati anaanzisha mchakato wa kupata Katiba na kuvaa jezi ya chama kimoja. Jukata wameeleza kuwa kutokana na hali...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JUKATA yalalamikia uteuzi Bunge la Katiba

JUKWAA la Katiba (JUKATA) limesema uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete umewapendelea zaidi makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Uteuzi huo uliotangazwa mwishoni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JUKATA wamwonya Sitta asiongeze muda wa Bunge

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limemtaka Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuzingatia muda wa kumaliza shughuli za Bunge hilo. Kauli ya Jukata imekuja baada ya kuwepo kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jukata: Rais Kikwete ameshindwa Katiba mpya

JUKWAA la Katiba Tanzania (JUKATA) limesema Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kutimiza ahadi ya kuwapatia Watanzania Katiba mpya kabla ya kumaliza uongozi wake. Kauli ya Jukata ilitolewa Dar es Salaam jana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jukata yaishauri NEC siku ya kupiga kura

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limeishauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuteua siku ya kazi kuwa siku ya kupiga kura badala ya siku za mwisho wa wiki. Pia limeishauri...

 

11 years ago

Mwananchi

Jukata yataka Katiba mpya isubiri 2016

Shinikizo la kutaka kusitishwa kwa Bunge Maalumu la Katiba limezidi kuongezeka baada ya Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), kusema mchakato huo usitishwe hadi Januari 2016 ili kupisha Uchaguzi Mkuu wa mwakani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani