Julio: Nilijua tutafungwa, ila si hivi
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’, amesema kuwa alijua atafungwa na Yanga, lakini si kwa idadi kubwa ya mabao kama waliyofungwa.
Yanga juzi iliwastaajabisha Coastal Union ya Tanga kwa kuwafunga mabao 8-0, ikiwa ni idadi kubwa ya mabao waliyofungwa msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara, iliyo kwenye hatua za lala salama.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mchezo huo, Julio alisema, hakuwa na taarifa ya mchezo huo, kwani alijua watakutana nayo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo30 Oct
SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI
![](http://images.askmen.com/dating/heidi_250/286_keep-your-female-friend-and-your-girlfriend_flash.jpg)
Hii ni kwa sababu wameingia kwenye penzi na watu ambao si sahihi. Kutokana na mazingira hayo, haiwezi kuwa kitu cha ajabu mume wa mtu kutokea kumpenda sana mke wa mtu au kinyume chake.
Pia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMNHrVAoCGJ8Lw8dcNTF3bVPaBaofg1E5faKYmy5fiNNjyUp2xvpv*BsOGwoKQLYeUpwhD0kBTeYwWl-tW0cU61*/love.jpg?width=650)
SIYO DHAMBI KUMPENDA MPENZI WA MWENZAKO ILA FANYA HIVI…
9 years ago
MillardAyo15 Dec
TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …
Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]
The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3KGM3KZVxz59rLxARnoXSKhgFXJnwlqCr93aaA2s6AOjsuw7oBCPO0-RHuHW5Vzcm1SWSvlXzWWBna7XH02WrCZuWpMb5WL5/mateso.gif?width=650)
MAMA: AWALI NILIJUA NINA UJAUZITO KUMBE SIYO
9 years ago
Bongo517 Dec
Zari: Diamond ananipenda hivi hivi pamoja na ninyi kuniona bibi!
![12357542_428396244023192_1854107619_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12357542_428396244023192_1854107619_n-300x194.jpg)
Kuna watu wanaodai kuwa make up ya Zari kwenye video ya Utanipenda! imemharibu na sasa mpenzi huyo wa Diamond amevunja ukimya na kuwajibu.
Kupitia ukurasa wake wa Facebook, Zari ameandika:
Need I remind some fools that this was a music video a lot of make up going on here and sometimes it just doesn’t do justice on a face, so if age is what is bothering you guess what, he knows there is a lot of young hoes out there but then again he prefers this old ass right here, so suck that up and take...
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi …
Kocha wa zamani wa klabu ya FC Barcelona ambaye kwa sasa anaitumikia klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani Pep Guardiola jina lake limekuwa likitumika kupamba headlines tofauti tofauti za magazeti ya michezo barani Ulaya na Afrika, hususani juu ya stori za kocha huyo kuhusishwa kutaka kujiunga na Man City ila Chelsea na Man United […]
The post Ni kweli Pep Guardiola kaamua hivi kuhusu Man City? Ujerumani wameandika hivi … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies01 May
10 years ago
VijimamboMartin Kadinda Hivi Kweli Meneja Ndo Anatakiwa Awe Hivi Kwa Mteja Wake? Jisomee Alichoandika
![](http://3.bp.blogspot.com/-EWNLHhimkv4/VBwCYETog0I/AAAAAAAAhZg/oJRjJt-AWwg/s1600/manajee.jpg)