Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Julio: Wawa, Kipre wanajua

Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amewaponda wachezaji wa kigeni hasa wanaosajiliwa na Simba, Yanga na Azam FC kwamba hawana jipya ingawa amesifu uwezo wa Kipre Tchetche na Pasca Wawa pamoja na Emmanuel Okwi huku akitangaza kiama kwa timu hizo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yamkomalia Kipre Tchetche

Mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche. Na Sweetbert Lukonge
LICHA ya uongozi wa Azam FC kueleza kuwa haupo tayari kumwachia mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Kipre Tchetche kwenda Yanga, uongozi wa klabu hiyo ya Jangwani haujakata tamaa na sasa unapanga mashambulizi upya ili kumsajili straika huyo. Tchetche ni mmoja wa wachezaji wa kutumainiwa katika kikosi cha Azam ambacho msimu uliomalizika hivi karibuni,...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha amkubali Kipre Tchetche

Kocha Msaidizi wa Ferroviario Da Beira, Victor Martin amemvulia kofia mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kwa kusema ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipre Tchetche aanza kujifua Azam FC

MCHEZAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu uliopita, Kipre Tchetche wa Azam FC, jana asubuhi aliibuka rasmi katika mazoezi ya Wanalambalamba hao yaliyofanyika kwenye dimba la Azam Complex, huku...

 

10 years ago

TheCitizen

Twite, Tambwe, Kipre eye prize

Three players from Young Africans, Simba Sports Club and Azam FC are in the final list of the Tanzania Sports Writers Association (Taswa) 2013/2014 annual sports personality award on December 12 at the Diamond Jubilee VIP Hall.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wabunge wanajua demokrasia na ushiriki wa watu?

KILA nikifuatilia majadiliano ndani ya Bunge letu tukufu, ninakuwa na maswali mengi kichwani mwangu na swali kubwa likiwa: Je wabunge wetu wanajua maana ya demokrasia na ushiriki wa watu?  Wako...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wengi wanajua uwepo wake, wachache wanaielewa

“HAKIMILIKI ya kimila ya ardhi? Hapana bwana mwandishi, sijasikia kitu kama hicho”.

Johnson Mbwambo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani