Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha amkubali Kipre Tchetche

Kocha Msaidizi wa Ferroviario Da Beira, Victor Martin amemvulia kofia mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche kwa kusema ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Yanga yamkomalia Kipre Tchetche

Mshambuliaji wa Azam, Kipre Tchetche. Na Sweetbert Lukonge
LICHA ya uongozi wa Azam FC kueleza kuwa haupo tayari kumwachia mshambuliaji wake wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Kipre Tchetche kwenda Yanga, uongozi wa klabu hiyo ya Jangwani haujakata tamaa na sasa unapanga mashambulizi upya ili kumsajili straika huyo. Tchetche ni mmoja wa wachezaji wa kutumainiwa katika kikosi cha Azam ambacho msimu uliomalizika hivi karibuni,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipre Tchetche aanza kujifua Azam FC

MCHEZAJI bora wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu uliopita, Kipre Tchetche wa Azam FC, jana asubuhi aliibuka rasmi katika mazoezi ya Wanalambalamba hao yaliyofanyika kwenye dimba la Azam Complex, huku...

 

10 years ago

Mwananchi

Julio: Wawa, Kipre wanajua

Kocha wa Mwadui FC, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amewaponda wachezaji wa kigeni hasa wanaosajiliwa na Simba, Yanga na Azam FC kwamba hawana jipya ingawa amesifu uwezo wa Kipre Tchetche na Pasca Wawa pamoja na Emmanuel Okwi huku akitangaza kiama kwa timu hizo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

 

10 years ago

TheCitizen

Twite, Tambwe, Kipre eye prize

Three players from Young Africans, Simba Sports Club and Azam FC are in the final list of the Tanzania Sports Writers Association (Taswa) 2013/2014 annual sports personality award on December 12 at the Diamond Jubilee VIP Hall.

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu amkubali Sitta

>Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesema ameupokea kwa furaha, uteuzi na uamuzi wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wa kugombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND AMKUBALI PETIT MAN

Stori: Mayasa Mariwata
HESHIMA! Tofauti na ilivyokuwa ikifikiriwa na wengi kwamba hamkubali shemeji yake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonyesha kumkubali shemeji yake Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ hadharani. Shemeji wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ akiwa na 'waifu tu bi'. Hivi karibuni uvumi uliibuka kuwa Diamond...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba amkubali Magufuli

>Siku moja baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, Waziri mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema chama hicho kimefanya uamuzi sahihi kwa kuwa waziri huyo wa ujenzi ni mchapakazi na hakutumia fedha kuipata nafasi hiyo.

 

10 years ago

GPL

Phiri amkubali Okwi shingo upande

Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi, Unguja       
KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Phiri, ameshtushwa na usajili wa kiungo mshambuliaji Emmanuel Okwi aliyetua kuichezea timu hiyo.Simba, juzi Alhamisi, ilitangaza kumrejesha kundini kiungo huyo mwenye mkataba wa mwaka miwili wa kuichezea Yanga inayojiandaa na Ligi Kuu Bara msimu ujao. Akizungumza na Championi Jumamosi, Phiri raia wa Zambia,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani