Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DIAMOND AMKUBALI PETIT MAN

Stori: Mayasa Mariwata
HESHIMA! Tofauti na ilivyokuwa ikifikiriwa na wengi kwamba hamkubali shemeji yake, staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameonyesha kumkubali shemeji yake Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ hadharani. Shemeji wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ Ahmed Hashimu ‘Petit Man’ akiwa na 'waifu tu bi'. Hivi karibuni uvumi uliibuka kuwa Diamond...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PETIT MAN AMUOA DADA WA DIAMOND PLATNUMZ

Meneja wa Mirror na wasanii wa Endless Fame, Petit Man (kushoto) akimvalisha pete ya ndoa dada yake na Diamond Platnumz aitwaye Esma usiku wa kuamkia leo. Wanandoa wakiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa.…

 

10 years ago

Vijimambo

ANGALIA PICHA DADA WA DIAMOND PLATNUMZ AOLEWA NA PETIT MAN

Wanandoa wakiwa katika pozi baada ya kufunga ndoa.Meneja wa Mirror na wasanii wa Endless Fame, Petit Man (kushoto) akimvalisha pete ya ndoa dada yake na Diamond Platnumz aitwaye Esma usiku wa kuamkia leo. Mama mzazi wa Diamond Platnumz na Esma, Sanura Kassim 'Sandra' (katikati) akiwa katika pozi na wanandoa hao.Wanandoa Petit Man na Esma wakiwa katika picha ya pamoja.Meneja wa Mirror na wasanii wa Endless Fame, Petit Man, amefunga ndoa ya Kiislamu na dada wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond...

 

10 years ago

CloudsFM

PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA

Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha. Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...

 

9 years ago

GPL

PETIT MAN, ESMA MAHABA UPYAA

Esma Abdul akiwa na aliyekuwa mumewe Hamad Manungwa ‘Petit man’. Na Imelda Mtema  Dada wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond,’ Esma Abdul amerudisha mahaba na aliyekuwa mumewe, Hamad Manungwa ‘Petit man’ baada ya kudaiwa kutengana, tena kwa talaka tatu. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, mpashaji wetu alisema Esma na Petit kwa sasa wako katika mapenzi motomoto na hivi karibuni walionekana...

 

9 years ago

GPL

PETIT MAN AMUANIKA MRITHI WA ESMA

Imelda Mtema Mpambe wa staa wa Filamu Bongo, Wema Sepetu, Hamadi Manungwa ‘Petit Man’, juzikati alimuanika rasmi mrithi wa aliyekuwa mkewe, Esma Abdul ‘Esma Platnumz’ baada ya hivi karibuni kuingia kwenye mgogoro wa ndoa.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1InnAJr

 

10 years ago

GPL

WEMA ADAIWA KUTIBUA NDOA YA PETIT MAN

MUSA MATEJA NA IMELDA MTEMA Hatimaye lile sekeseke la ndoa ya meneja wa wasanii wa Bongo Fleva wanaosimamiwa na Kampuni ya Endless Fame, Petit Man na mdogo wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma Platnumz limemdondokea Wema Isaac Sepetu anayedaiwa kuitibua kiasi cha kuwatenganisha na kila mmoja kuchukua hamsini zake. Habari kutoka chanzo chetu zilidai kwamba, Wema amehusika kwa asilimia kubwa kutibua...

 

9 years ago

GPL

PETIT MAN AJITOSA KWA DADA WA KIBA

 Petit Man Wakuache akiwa na dada wa Ali kiba. MFANYAKAZI wa kampuni inayomilikiwa na Wema Sepetu, Endless Fame, Petit Man Wakuache amenaswa akijiweka karibu na dada wa Ali Kiba, Zabibu Kiba kiasi cha kuzua minong’ono kwamba huenda alikuwa akimtongoza. Ubuyu huo ulinaswa moja kwa moja ndani ya Ukumbi wa Wema, Kijitonyama jijini Dar ambapo muda mwingi wawili hao walikuwa wakikaa pamoja na baadaye kila walipokwenda, walikwenda...

 

11 years ago

Mwananchi

Lissu amkubali Sitta

>Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) amesema ameupokea kwa furaha, uteuzi na uamuzi wa Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta wa kugombea Uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Warioba amkubali Magufuli

>Siku moja baada ya CCM kumpitisha Dk John Magufuli kuwa mgombea wake wa urais, Waziri mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesema chama hicho kimefanya uamuzi sahihi kwa kuwa waziri huyo wa ujenzi ni mchapakazi na hakutumia fedha kuipata nafasi hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani