Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUMBA LA KIFAHARI ALILOHAMIA DAVIDO HUKO BANANA ISLAND NIGERIA.


NI Headlines za msanii kutokea Nigeria Davido ambae anamiliki vichwa vya habari nchini Nigeria baada ya kuhamia Banana Island huko lagos nchini Nigeria.Davido anasema aliondoka alipokuwa akiishi zamani na kuhamia Banana Island kutokana na matunda ya wimbo wake wa Falling , sasa mashabiki wanajiuliza Je atakuwa amenunua Jumba hilo ama atakuwa amepanga.Kwanza nikujuze kidogo historia ya Banana Island ni kisiwa kidogo kilichotengenezwa  huko Ikoyi Lagos nchini Nigeria na kikamalizika mwaka 2000...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BILIONEA AMPANGISHIA LULU JUMBA LA KIFAHARI

Stori: Hamida Hassan, Gladness Mallya na Musa Mateja.
Madai mazito ya kushtua mtaani yanasema kwamba staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, mambo yake kwa sasa yapo juu ya mstari baada ya bilionea kutoka jijini Arusha (jina tunalihifadhi kwa sasa) kudaiwa kujitosa kumlea akianza kwa kumpangishia jumba kubwa la kifahari. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, akiwa na begi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani

 

This Luxury Boeing 747-8 for the Super-Rich is a Palace in the SkyMost of us can’t afford to fly first-class, let alone buy our own jet. And even within that exclusive world, it’s a big step up from your standard private jet to a personalized Boeing 747-8. Greenpoint Technologies, of Kirkland, recently fitted out the industry’s first VIP 747-8 for a private, undisclosed client.Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.

Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.

Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.

rawimage-11

Ndege ya Gulfstream G650,  miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI MBAYA ILIYOTOKEA HUKO UKONGA BANANA

Inasemekana kuwa roli hili lenye contina limeangukia hiace yenye abiria huko maeneo ya banana ukongo na kusababisha vifo vya abiria waliokuwa ndani ya hiace hiyo. Habari hii tumeipata kupitia shuuda wetu aliekuwepo eneo la tukio kwa habari zaidi zitawajia kupitia hapa hapa vijimambo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jumba la wafu na wafungwa la Nigeria

Maiti zilizooza na watu waliofungwa minyororo wakutikana kwenye nyumba moja mjini Ibadan, kusini-magharibi mwa Nigeria

 

10 years ago

GPL

WAJUE MASTAA WANANE WA NIGERIA WENYE MAJUMBA YA KIFAHARI

Genevieve Nnaji
Hili ni jumba la mwigizaji Genevieve Nnaji ambalo alilinunua jijini Accra, Ghana. Jengo hilo lina thamani ya dola milioni nne (Sh. Bilioni 8.6) likiwa eneo la Achimota. Daniella Okeke
Huu ni mjengo unaotisha wa Daniella Okeke ambao una thamani ya mamilioni. Ini Edo Haya ni makazi ya Ini Edo, mmoja wa nyota maarufu wa filamu nchini Nigeria ambako… ...

 

10 years ago

Bongo5

New Music Video: Kcee feat. Davido — ‘Ogaranya’ (Nigeria)

Hii ni video nyingine iliyoongozwa na director Godfather aliyeishafanya kazi na wasanii wa Bongo kama AY, Diamond, Linah na Shetta. Ni video mpya ya wasanii wa Nigeria Kcee aliyemshirikisha Davido.

 

9 years ago

Mtanzania

Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo

linNA MWANDISHI WETU

WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...

 

10 years ago

GPL

TIWA SAVAGE, FLAVOUR, DAVIDO WASHINDWA KUPIGA KURA NIGERIA

Tiwa Savage. WAKATI wananchi wa Nigeria wakiwa katika zoezi la kupiga kura kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika juzi na jana, baadhi ya mastaa walishindwa kuhudhuria tukio hilo muhimu kutokana na majukumu mbalimbali. Davido Adeleke. Miongoni mwa mastaa hao ni mwanamuziki Davido Adeleke, aliyekuwa na shoo kwenye tamasha moja nchini Kenya hivyo hakuweza kupiga kura.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani