BILIONEA AMPANGISHIA LULU JUMBA LA KIFAHARI
![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi8wjSxYm0QdJHk8-j2XQqea*b-KG0QTqZ5i5ud0IRe3JDtG7W5gUes2oqoMUxnumhoGxV9I1SwG*qGIbHIyzjX-/lulu.jpg)
Stori: Hamida Hassan, Gladness Mallya na Musa Mateja. Madai mazito ya kushtua mtaani yanasema kwamba staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, mambo yake kwa sasa yapo juu ya mstari baada ya bilionea kutoka jijini Arusha (jina tunalihifadhi kwa sasa) kudaiwa kujitosa kumlea akianza kwa kumpangishia jumba kubwa la kifahari. Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, akiwa na begi...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog01 Jun
JUMBA LA KIFAHARI ALILOHAMIA DAVIDO HUKO BANANA ISLAND NIGERIA.
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/ffjjjj-660x400.jpg)
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/06/ffiiiii12230.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 Apr
Mashirika ya ndege ya Boeing 747-8 sasa yaja na ‘jumba la kifahari’ angani
Sehemu ya ndani chumbani kama inavyoonekana.
Na Andrew Chale wa Modewji blog, kwa msaada wa Mashirika ya Habari.
Huenda bado ujasikia juu ya baadhi ya ndege ndogo, za kati na zile kubwa zimekuja na mfumo mpya zaidi ndani ya ndege zao ikiwemo kutengeneza chumba cha kifahari ndani ya ndege kiasi cha kujiona kama upo nyumbani kwako kwenye jumba la kifahari.
Ndege ya Gulfstream G650, miongoni tu waliokuja na mfumo huo kwenye ndege yao hiyo ya usafiri wa anga kifahari, lakini kuna wachache...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Majengo ya kifahari Moshi kubomolewa
11 years ago
BBCSwahili21 Mar
Pistorius kuuza nyumba yake ya kifahari
11 years ago
Tanzania Daima31 May
‘Serikali iache kununua magari ya kifahari’
SERIKALI imeshauriwa kuacha kununua magari ya kifahari, badala yake fedha hizo zielekezwe katika kununua magari na kujenga majengo kwa ajili ya Jeshi la Polisi. Akiuliza swali bungeni jana, Mbunge wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzTY94yzCcIm*TB2glCwkaD-o8ntuAi8Fa1RlIP1pBphPdkUPDqS5KZmkE3tWh9kCEZ7kgcTCNoGDoKZeT*K88eBnq-rKzrW/yondani.jpg?width=650)
Yondani amjengea baba yake nyumba ya kifahari
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhy5NXdhuGOol5494AYOhaWbFxJubPUj3P1eFywr0ji71Oia-hAzzExsegbt40S*iMZ51d1MfaqE73DtdKMu8tN1/Genevive.jpg?width=650)
WAJUE MASTAA WANANE WA NIGERIA WENYE MAJUMBA YA KIFAHARI