Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majengo ya kifahari Moshi kubomolewa

Majengo ya kifahari yaliyojengwa ndani ya mita 60 kutoka kwenye vyanzo vya maji katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro yanatarajiwa kubomolewa wakati wowote kuanzia kesho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WALIOVAMIA SOKO LA TANDALE KUBOMOLEWA MAJENGO YAO


Serikali imewataka  wananchi waliojenga nyumba zao ndani ya soko la Tandale ambalo lipo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam kuzibomoa na kuacha mipaka yote ya soko hilo wazi, na imewapa siku saba kufanya hivyo kabla ya majengo hayo kubomolewa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa George Simbachawene ameyasema hayo tarehe 22 Desemba wakati alipofanya ziara yake katika Manispaa tatu za jiji la Dar es salaam kwa ajili ya kujionea hali ya usafi...

 

11 years ago

Habarileo

Chuo Kikuu cha Stefano Moshi chakabidhiwa majengo

CHUO Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) cha mkoani Kilimanjaro, kimekabidhiwa majengo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa mkataba wa miaka mitano, lengo likiwa ni kuboresha maendeleo ya elimu nchini.

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI MKUU MPYA WA TBL AKAGUA MAJENGO WALIYOYAKABIDHI KWA CHUO KIKUU CHA STEPHANO MOSHI

 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL,Roberto Jarrin akiongozwa na mkufunzi katika Chuo Kikuu Kishiriki cha kumbukumbu ya Stephano Moshi,Gasper Mpehongwa kutembelea vyumba vya madarasa ambavyo vinatumika kwa ajili ya masomo pamoja na mitihanikatika eneo la TBL mjini Moshi.Eneo hilo limetolewa na TBL kwa chuo hicho ikiwa ni kurudisha sehemu ya faida inayopatikana kwa wananchi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL,Roberto Jarrin akiwa ameambatana na mkuu wa chuo Kikuu...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.

Zoezi la ukataji wa maji hayo lilisimamiwa na Afisa Uhusiano wa mamlaka hiyo Florah Nguma.Mafundi wakifukia eneo hilo.Eneo la nje ya nyumba hiyo ambayo wizi wa maji ulikuwa ukifanyika.Afisa wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi, Bw. Jacob Ulotu akiondoa gunia lililokuwa limefunika sehemu hiyo ambayo kiutaratibu ilitakiwa kuwa na meta ya kusoma matumizi ya maji. Picha zaidi BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.

Mmiliki wa nyumba moja katika eneo la Majengo kwa mtei mjini Moshi amekutwa akiwa amejiunganishia maji kinyemela na kufunika na gunia eneo ambalo alikuwa amejiunganishia.Afisa wa Mamlaka ya Maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Jacob Ulotu akiondoa gunia lililokuwa limefunika sehemu hiyo ambayo kiutaratibu ilitakiwa kuwa na meta ya kusoma matumizi ya maji.Hivi ndivyo ilivyokuwa ikionekana baada ya kuondolewa gunia.
Na maji alikuwa akitumia kama inayoonekana .Baadhi ya maofisa wa MUWSA...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walia kubomolewa vibanda usiku

WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao  usiku bila kuwataarifu....

 

11 years ago

Habarileo

Nyumba 700 kubomolewa Arusha

ZAIDI ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili, kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani