Majengo ya kifahari Moshi kubomolewa
Majengo ya kifahari yaliyojengwa ndani ya mita 60 kutoka kwenye vyanzo vya maji katika Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro yanatarajiwa kubomolewa wakati wowote kuanzia kesho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWALIOVAMIA SOKO LA TANDALE KUBOMOLEWA MAJENGO YAO
Serikali imewataka wananchi waliojenga nyumba zao ndani ya soko la Tandale ambalo lipo Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam kuzibomoa na kuacha mipaka yote ya soko hilo wazi, na imewapa siku saba kufanya hivyo kabla ya majengo hayo kubomolewa.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mheshimiwa George Simbachawene ameyasema hayo tarehe 22 Desemba wakati alipofanya ziara yake katika Manispaa tatu za jiji la Dar es salaam kwa ajili ya kujionea hali ya usafi...
11 years ago
Habarileo04 Mar
Chuo Kikuu cha Stefano Moshi chakabidhiwa majengo
CHUO Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) cha mkoani Kilimanjaro, kimekabidhiwa majengo ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kwa mkataba wa miaka mitano, lengo likiwa ni kuboresha maendeleo ya elimu nchini.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/zlmEmDMB5p4/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKURUGENZI MKUU MPYA WA TBL AKAGUA MAJENGO WALIYOYAKABIDHI KWA CHUO KIKUU CHA STEPHANO MOSHI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ms8SxMOGfIc/VU56a3A8XBI/AAAAAAAAPQ0/EP7lvwQ_JEE/s72-c/E86A6949%2B(800x533).jpg)
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ms8SxMOGfIc/VU56a3A8XBI/AAAAAAAAPQ0/EP7lvwQ_JEE/s640/E86A6949%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y7desf_xVMg/VU56cJYUxAI/AAAAAAAAPRA/7CoqyQx39Dg/s640/E86A6955%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fuxX6Rv_308/VU56cDgHw4I/AAAAAAAAPQ8/uHeZFP8fnpw/s640/E86A6958%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mho7ZjOapZk/VU56Pds9yeI/AAAAAAAAPP0/wmAV9h536wI/s640/E86A6916%2B(800x533).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zMZCc26cNIE/VU56PfIxtGI/AAAAAAAAPPs/73zDfzYytMg/s72-c/E86A6913%2B(800x533).jpg)
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI(MUWSA)YANASA MWIZI WA MAJI ENEO LA MAJENGO MJI MPYA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zMZCc26cNIE/VU56PfIxtGI/AAAAAAAAPPs/73zDfzYytMg/s640/E86A6913%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mho7ZjOapZk/VU56Pds9yeI/AAAAAAAAPP0/wmAV9h536wI/s640/E86A6916%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jGOMmN0HtZY/VU56PdnB42I/AAAAAAAAPP4/hWrY9HhdlE0/s640/E86A6917%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-2BC8mxStR1Q/VU56SqvQVSI/AAAAAAAAPQE/ZacvWwbvq5c/s640/E86A6919%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5wCBwk_nDQ4/VU56UWQzbSI/AAAAAAAAPQM/JeL9LJ1VITo/s640/E86A6927%2B(800x533).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Walia kubomolewa vibanda usiku
WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao usiku bila kuwataarifu....
11 years ago
Habarileo26 Jun
Nyumba 700 kubomolewa Arusha
ZAIDI ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili, kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini Kenya.