Walia kubomolewa vibanda usiku
WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao usiku bila kuwataarifu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Majengo ya kifahari Moshi kubomolewa
11 years ago
Habarileo26 Jun
Nyumba 700 kubomolewa Arusha
ZAIDI ya nyumba 700 zilizopo kando ya barabara ya Arusha-Moshi, zitabomolewa kupisha ujenzi wa barabara ya kutoka Arusha hadi mpaka wa Holili, kwa upande wa Tanzania na Taveta hadi Voi nchini Kenya.
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Vibanda 189 vyateketea Arusha
MOTO mkubwa umeteketeza vibanda 189 vinavyouza bidhaa za asili zinazotengenezwa kwa ngozi, shanga na vinyago vya kuchonga vilivyoko eneo la Mount Meru curios & crafts maarufu kama Maasai Market. Baadhi...
9 years ago
Mwananchi06 Jan
Wakazi 3,000 Arumeru kubomolewa makazi
10 years ago
MichuziJENGO LA GHOROFA 16 KUBOMOLEWA JIJINI DAR.
Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es SalaamUwepo wa jingo hilo ambalo limejengwa chini ya kiwango limezua hofu kubwa kwa wakazi wa eneo hilo,kwani jingo hilo lipo karibu na jingo jingine lililokuwa na ghorofa 16 ambalo lilianguka...
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Nyumba 5,000 kubomolewa Dar es salaam
Ruth Mnkeni na Elizabeth Nyambele, Dar es Salaam
WIZARA ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepanga kubomoa nyumba zaidi ya 5,000 za wakazi wa Jiji wa Dar es Salaam zilizojengwa kinyume na utaratibu na zilizo katika maeneo hatarishi.
Mpango wa kubomoa nyumba hizo ulitangazwa jana na mwanasheria wa Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Manchare Suguta, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Bonge la Mkwajuni ambako jana shughuli ya ubomoaji ilikuwa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
‘Wafanyabiashara ondoeni vibanda stendi ya Ubungo’
WAFANYABIASHARA wenye vibanda vya kukatia tiketi katika stendi ya Ubungo, ambako mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaendelea, wametakiwa kuviondoa ili kupisha ujenzi wa mradi huo. Katibu Mkuu Ofisi ya...
11 years ago
Habarileo04 Feb
CDA wavunja vibanda vya biashara
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imebomoa vibanda vya biashara vilivyojengwa kando ya barabara katika maeneo ya Nkuhungu, Manispaa ya Dodoma.