Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vibanda 189 vyateketea Arusha

MOTO mkubwa umeteketeza vibanda 189 vinavyouza bidhaa za asili zinazotengenezwa kwa ngozi, shanga na vinyago vya kuchonga vilivyoko eneo la Mount Meru curios & crafts maarufu kama Maasai Market. Baadhi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VYUMBA VITATU VYATEKETEA KWA MOTO DAR

Askari wa zimamoto wakiwa kazini.
Sehemu ya ukuta ilivyoungua.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Maduka matatu ikiwemo nyumba vyateketea kwa moto karibia na Hospitali ya Mwananyamala leo

1 Moto ukiwa umeanza kama utani, watu wakiwa wanaendelea na kazi kama kawaida.(Picha zote na Dar es salaam yetu Blog).

*******

Moto mkubwa uliosababishwa na hitilafu ya Umeme umewaka eneo la jirani na Hospitali ya Mwananyamala na kusababisha kuungua kwa Maduka matatu pamoja na nyumba moja ambayo ilikuwa imeungana na duka moja wapo ambamo walikuwa wanauza vitambaa na kushona nguo.

Moto huo ulichukua zaidi ya masaa mawili ambapo wakazi wa eneo hilo ndio waliosaidia kwa kiasi kikubwa kuzima...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walia kubomolewa vibanda usiku

WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao  usiku bila kuwataarifu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wafanyabiashara ondoeni vibanda stendi ya Ubungo’

WAFANYABIASHARA wenye vibanda vya kukatia tiketi katika stendi ya Ubungo, ambako mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaendelea, wametakiwa kuviondoa ili kupisha ujenzi wa mradi huo. Katibu Mkuu Ofisi ya...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yatoa mabati 70 vibanda vilivyoteketea

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimetoa mabati 70 kusaidia ujenzi upya wa vibanda vilivyoteketea juzi kwa moto katika eneo la Fire jijini hapa na kusababisha hasara ya mamilioni ya shilingi.

 

11 years ago

GPL

MANISPAA YA KINONDONI YAVUNJA VIBANDA-MWENGE

Askari wakiwa makini kuhakikisha amani inakuwepo. Baadhi ya maaskari wakisimamia usafishwaji wa barabara za mwenge. Huu ni muonekano wa sasa wa…

 

11 years ago

Habarileo

CDA wavunja vibanda vya biashara

MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imebomoa vibanda vya biashara vilivyojengwa kando ya barabara katika maeneo ya Nkuhungu, Manispaa ya Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya

>Wafanyabiashara ndogondogo ‘Machinga’ wa jijini Mbeya jana  walijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufika maeneo yao ya biashara na kukuta vibanda vyao vimevunjwa usiku.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kasi ya Magufuli kuondoka vibanda 100 Dodoma

KASI ya utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano imeendelea kwenye maeneo ya kawaida kwa Katib

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani