Vibanda 189 vyateketea Arusha
MOTO mkubwa umeteketeza vibanda 189 vinavyouza bidhaa za asili zinazotengenezwa kwa ngozi, shanga na vinyago vya kuchonga vilivyoko eneo la Mount Meru curios & crafts maarufu kama Maasai Market. Baadhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLVYUMBA VITATU VYATEKETEA KWA MOTO DAR
11 years ago
Dewji Blog15 Jul
Maduka matatu ikiwemo nyumba vyateketea kwa moto karibia na Hospitali ya Mwananyamala leo
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/118.jpg)
*******
Moto mkubwa uliosababishwa na hitilafu ya Umeme umewaka eneo la jirani na Hospitali ya Mwananyamala na kusababisha kuungua kwa Maduka matatu pamoja na nyumba moja ambayo ilikuwa imeungana na duka moja wapo ambamo walikuwa wanauza vitambaa na kushona nguo.
Moto huo ulichukua zaidi ya masaa mawili ambapo wakazi wa eneo hilo ndio waliosaidia kwa kiasi kikubwa kuzima...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Walia kubomolewa vibanda usiku
WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao usiku bila kuwataarifu....
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
‘Wafanyabiashara ondoeni vibanda stendi ya Ubungo’
WAFANYABIASHARA wenye vibanda vya kukatia tiketi katika stendi ya Ubungo, ambako mradi wa mabasi yaendayo haraka (DART) unaendelea, wametakiwa kuviondoa ili kupisha ujenzi wa mradi huo. Katibu Mkuu Ofisi ya...
10 years ago
Habarileo20 Nov
CCM yatoa mabati 70 vibanda vilivyoteketea
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha kimetoa mabati 70 kusaidia ujenzi upya wa vibanda vilivyoteketea juzi kwa moto katika eneo la Fire jijini hapa na kusababisha hasara ya mamilioni ya shilingi.
11 years ago
GPLMANISPAA YA KINONDONI YAVUNJA VIBANDA-MWENGE
11 years ago
Habarileo04 Feb
CDA wavunja vibanda vya biashara
MAMLAKA ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) imebomoa vibanda vya biashara vilivyojengwa kando ya barabara katika maeneo ya Nkuhungu, Manispaa ya Dodoma.
11 years ago
Mwananchi14 Apr
Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya
9 years ago
Raia Mwema10 Dec
Kasi ya Magufuli kuondoka vibanda 100 Dodoma
KASI ya utendaji kazi wa Serikali ya Awamu ya Tano imeendelea kwenye maeneo ya kawaida kwa Katib
Mwandishi Wetu