Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya

>Wafanyabiashara ndogondogo ‘Machinga’ wa jijini Mbeya jana  walijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufika maeneo yao ya biashara na kukuta vibanda vyao vimevunjwa usiku.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.

Wananchi, Wafanyabiashara, Wanasiasa na Wanafunzi wa Jiji la Mbeya waitikia wito wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kufanya Usafi katika Maeneo Mbalimbali ya Jiji la Mbeya kama waonekanavyo hapo na zifuatazo hapo chini ni Taswira Mbalimbali za Jinsi hali ya Mambo ilivyo kuwa katika baadhi ya Maeneo ya Jiji la Mbeya. Mitaa Mbalimbali ya Jiji la Mbeya imepokea vyema wito wa Rais wa Awamu ya Tano juu ya agizo la kufanya Usafi Nchi  nzima kwa siku hii ya leoBOFYA...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makaburi alizikwa usiku wa manane

Mhubiri mwenye utata aliyeuawa na polisi mjini Mombasa, Kenya Jumanne usiku, Abubakar Shariff Makaburi alizikwa usiku

 

10 years ago

Bongo Movies

‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’

Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri  wa miala 18.

Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa  watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika  kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.

Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walia kubomolewa vibanda usiku

WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao  usiku bila kuwataarifu....

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa

Vifaa vya upigaji kura vikiwasili ofisi ya tume ya uchaguzi visiwani Zanzibar iliyopo Chake Chake Pemba chini ya ulinzi wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) tarehe 17/10/2015 Mvutano umejitokea wapi vifaa hivyo vitahifadhiwa hadi sasa

The post Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Aliyeuawa kwa 'ugaidi’ azikwa usiku wa manane

MTUHUMIWA wa matukio ya kigaidi na umwagiaji watu tindikali katika miji mbalimbali nchini ikiwa pamoja na Arusha, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kama Yahaya Sensei amezikwa usiku wa `manane’ kijijini kwao Chemchem, kata ya Suruke wilayani Kondoa, Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Ocean Road wahudumia wagonjwa hadi usiku wa manane

Uhaba wa vifaa tiba na ubovu wa mashine ya mionzi, umewafanya wahudumu wa afya katika Taasisi ya Saratani ya Ocean Road(ORCI) kutibu wagonjwa hadi usiku wa manane. gazeti hili limebaini.

 

11 years ago

GPL

LULU, YOUNG D WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI USIKU WA MANANE

Elizabeth Michael 'LULU'. Jana kupitia kwenye kipindi cha U-heard cha Clouds FM chini ya bwana Sudi Brown ama Gossip Cop kulikuwa na fununu kali iliyokuwa inamuhusu mwanadada wa bongomovies  na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya Young D ' Young Dar es salaam' kama mwenyewe anavyojiita ya wawili hao kukutwa kwenye gari wakifanya lile tendo linaloruhusiwa kufanywa mara baada ya mdada na mkaka kufunga ndoa. ...

 

10 years ago

Vijimambo

BAADA YA KIKAO KWISHA USIKU WA MANANE HAYA NDIYO MAJINA YANAYOTAZAMIWA KUTANGAZWA KESHO.

Haya ndio matokeo yaliyowekwa @Twitter kuhusu Wagombea watano Urais wa CCM Dodoma live 
INASEMEKANA HAWA NDIYO WANAOPEWA NAFASI KUBWA YA KUINGIA KWENYE TANO BORA HABARI RASMI KUTOLEWA ASUBUHI.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani