Jiji lavunja vibanda usiku wa manane Mbeya
>Wafanyabiashara ndogondogo ‘Machinga’ wa jijini Mbeya jana walijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufika maeneo yao ya biashara na kukuta vibanda vyao vimevunjwa usiku.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWANANCHI, WAFANYA BIASHARA, WANASIASA, NA WANAFUNZU WA JIJI LA MBEYA WATIMIZA WAJIBU WA KUFANYA USAFI KATIKA MAENEO MBALIMBALI YA JIJI LA MBEYA.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Makaburi alizikwa usiku wa manane
10 years ago
Bongo Movies30 Jun
‘Filamu Zionyeshwe Usiku wa Manane’
Meneja msaidizi wa bidhaa za Zuku Tanzania, Venaranda Raphael, amezitaka kampuni zinazofanya shughuli za filamu nchni zizingatie maadili kwa kuonyesha filamu zao usiku ili zisiharibu taibia za watoto walio chini ya umri wa miala 18.
Alisema filamu nyingi zina picha zisizofaa kwa watoto hivyo zionyeshwe usiku wa manane ambapo inaaminika kwamba muda huo idadi kubwa ya watoto huwa wamelala.
Naye memeja mkuu wa kampuni hiyo, Omari Zuberi, alisema kampuni hiyo imewekeza dola milioni moja kwa...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Walia kubomolewa vibanda usiku
WAFANYABIASHARA wa eneo la Sabasaba katika mji wa Tarime, mkoani Mara, wamelalamikia kitendo cha kikatili kilichofanywa na mkurugenzi wa halmashauri ya mji huo cha kubomoa vibanda vyao usiku bila kuwataarifu....
9 years ago
Mzalendo Zanzibar17 Oct
Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa
Vifaa vya upigaji kura vikiwasili ofisi ya tume ya uchaguzi visiwani Zanzibar iliyopo Chake Chake Pemba chini ya ulinzi wa jeshi la wananchi Tanzania(JWTZ) tarehe 17/10/2015 Mvutano umejitokea wapi vifaa hivyo vitahifadhiwa hadi sasa
The post Kura zawasili usiku wa manane kinyume na ilivotarajiwa appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo23 Oct
Aliyeuawa kwa 'ugaidi’ azikwa usiku wa manane
MTUHUMIWA wa matukio ya kigaidi na umwagiaji watu tindikali katika miji mbalimbali nchini ikiwa pamoja na Arusha, Yahaya Hassan Hela (31) maarufu kama Yahaya Sensei amezikwa usiku wa `manane’ kijijini kwao Chemchem, kata ya Suruke wilayani Kondoa, Dodoma.
10 years ago
Mwananchi31 Oct
Ocean Road wahudumia wagonjwa hadi usiku wa manane
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzRvOBf5BR1FWOd*WYTI0zCDEI6VzRGucoyItA583Kj4vYHCl8LfuwhZMX9OTdr-ckx7WFnbrFvmRTEQaMA5gnGo/lulu.jpg?width=640)
LULU, YOUNG D WAKUTWA WAKIFANYA MAPENZI USIKU WA MANANE
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Z63RZNAEtAI/default.jpg)
BAADA YA KIKAO KWISHA USIKU WA MANANE HAYA NDIYO MAJINA YANAYOTAZAMIWA KUTANGAZWA KESHO.
INASEMEKANA HAWA NDIYO WANAOPEWA NAFASI KUBWA YA KUINGIA KWENYE TANO BORA HABARI RASMI KUTOLEWA ASUBUHI.
![](https://external-lga1-1.xx.fbcdn.net/safe_image.php?d=AQB-x5-Lh5Vm4mek&w=470&h=246&url=http%3A%2F%2Fmillardayo.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F07%2FCCM-II.jpg&cfs=1&upscale=1&sx=0&sy=144&sw=428&sh=224&l)