Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumba la wafu na wafungwa la Nigeria

Maiti zilizooza na watu waliofungwa minyororo wakutikana kwenye nyumba moja mjini Ibadan, kusini-magharibi mwa Nigeria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

JUMBA LA KIFAHARI ALILOHAMIA DAVIDO HUKO BANANA ISLAND NIGERIA.


NI Headlines za msanii kutokea Nigeria Davido ambae anamiliki vichwa vya habari nchini Nigeria baada ya kuhamia Banana Island huko lagos nchini Nigeria.Davido anasema aliondoka alipokuwa akiishi zamani na kuhamia Banana Island kutokana na matunda ya wimbo wake wa Falling , sasa mashabiki wanajiuliza Je atakuwa amenunua Jumba hilo ama atakuwa amepanga.Kwanza nikujuze kidogo historia ya Banana Island ni kisiwa kidogo kilichotengenezwa  huko Ikoyi Lagos nchini Nigeria na kikamalizika mwaka 2000...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wafungwa wengi watoroshwa Nigeria

Watu wenye silaha wavamia gereza na kuacha wafungwa watoroke katikati mwa Nigeria

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS WA NIGERIA ATOA AGIZO LA KUACHILIWA HURU WAFUNGWA KWA SABABU YA CORONA

Rais wa Nigeria atoa agizo la kuachiliwa huru wafungwa kwa sababu ya virusi vya Corona Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria amemtaka Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa ambao wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao kwa kwa muda wa miezi sita sasa au zaidi, kama moja ya njia ya kukabiliana na ueneaji wa virusi vya Corona katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.Rais wa Nigeria amenukuliwa akisema kuwa, asilimia 42 ya wafungwa 74,000 wamekuwa wakisubiri kusikilizwa kesi zao, hivyo amemtaka Ibrahim Tanko Muhammad Jaji Mkuu wa nchi hiyo awaachilie huru wafungwa hao na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Changamoto za madaktari wanaopasua wafu

Je, watu wangapi wangependa kufanya kazi katika vyumba vya kuhifadhi miili? Bila shaka si wengi lakini wanaopitia hali hiyo kila mara ni madkatari wanaopasua wafu

 

11 years ago

BBCSwahili

Nelson Mandela:Misa ya wafu

Maelfu ya watu wanaendelea kuwasili katika uwanja mkubwa wa FNB mjini Johanessburg kwa ajili ya misa ya wafu ya hayati Nelson Mandela,

 

11 years ago

BBCSwahili

Yanayojiri kwenye misa ya wafu ya Mandela

Haya ni matokeo kama yanavyojiri nchini Afrika Kusini misa ya wafu ya Mandela ikiendelea

 

10 years ago

BBCSwahili

Misa ya wafu ya Sata yafanyika London

Misa ya wafu ya aliyekuwa rais wa Zambia Michael Sata ilifanyika mjini London Uingereza

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela:Misa ya wafu kufanyika leo

Maelfu ya watu wanaendelea kuwasili katika uwanja mkubwa wa FNB mjini Johanessburg kwa ajili ya misa ya wafu ya hayati Nelson Mandela,

 

10 years ago

BBCSwahili

Maji ya kuosha wafu,kivutio cha biashara

Wafanyibiashara katika mtaa wa Lobengula nchini Zimbabwe wazozania maji machafu yanayopatikana baada ya kuosha wafu .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani