Kachomewa nyumba, kafukuzwa kijijini
JINA lake ni Latifa Lweyemamu. Anajiita mkimbizi kutoka kijiji cha Byeju, Kata ya Mtukula, Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera. Anasema “Mungu ni Mkubwa, niko hai.” Usiku wa Mei 5, 2011,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Aug
Wasanii 16 wapewa nyumba ‘kijijini’
MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umegawa nyumba nyingine 16 kwa wanachama wake waliokamilisha ujenzi ambako mpaka sasa wanachama 120 wamekabidhiwa nyumba zao katika kijiji cha Wasanii cha Mwanzega, Mkuranga.
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Shirika la Nyumba NHC lazindua uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 Kawe
Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba NHC Bw. Nehemia Mchechu Kyando akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya uzinduzi wa uuzaji wa nyumba za mradi wa 711 uliopo Kawe jijini Dar es salaam, Nyumba hizi ziko kwenye majengo 7 yenye ghorofa 11 kila moja ambayo yanatarajiwa kuchukua watu 1000 kwa na huu ni utangulizi wa ujenzi wa mji mpya wa kisasa unaotarajiwa kujengwa eneo la Tanganyika Pakers Kawe jijini Dar es salaam ambao ukikamilika utaweza kuchukua watu 15000.
Watu wanaohitaji kununua...
10 years ago
Mtanzania27 Oct
Facts Production kuuza filamu zake nyumba kwa nyumba
NA HERIETH FAUSTINE
KAMPUNI ya Facts Production inatarajia kuanza kusambaza filamu yake mpya ya ‘Niliyemchagua’ kwa mfumo wa nyumba kwa nyumba.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mohammed Kazi ‘Mudy Kazi’ alisema ameamua kufanya hivyo ili kutoa nafasi ya wasiopata muda wa kwenda kununua CD za filamu hiyo katika maduka makubwa waweze kununua wakiwa nyumbani kwao.
“Lakini pia tumeona ni vizuri kwa kuwa itasaidia kuwatambulisha wasanii wetu chipukizi ambao wana uwezo mkubwa kuliko wasanii wenye majina...
11 years ago
MichuziMwenyekiti wa Shirika la Nyumba la Serikali ya Dubai atembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu Kigamboni
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DARâ€
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Kova asaka ‘Mbwa Mwitu’ nyumba kwa nyumba
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limeanzisha operesheni ya nyumba kwa nyumba ya kuwasaka vijana wanaojihusisha na kundi la vijana wanyang’anyi liitwalo ‘Mbwa Mwitu’ na kuahidi ndani...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI WILLIAM LUKUVI AAGA RASMI SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA
10 years ago
GPLSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DAR
11 years ago
Michuzi.jpg)
Shirika la Nyumba NHC leo limesaini mkataba wa ujenzi wa nyumba 5,000 na Halmashauri ya Wilaya Mpya ya Busokelo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10