Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii 16 wapewa nyumba ‘kijijini’

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umegawa nyumba nyingine 16 kwa wanachama wake waliokamilisha ujenzi ambako mpaka sasa wanachama 120 wamekabidhiwa nyumba zao katika kijiji cha Wasanii cha Mwanzega, Mkuranga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kachomewa nyumba, kafukuzwa kijijini

JINA lake ni Latifa Lweyemamu. Anajiita mkimbizi kutoka kijiji cha Byeju, Kata ya Mtukula, Wilaya ya Misenyi, mkoani Kagera. Anasema “Mungu ni Mkubwa, niko hai.” Usiku wa Mei 5, 2011,...

 

11 years ago

GPL

WASANII BONGO WAPEWA SEMINA

Mwendesha shughuli hiyo, Ruge Mutahaba akizungumza jambo. Muigizaji, Tellence J akiongea mbele ya wasanii wa Bongo leo. Tellence J na Shaka Zulu.…

 

11 years ago

Habarileo

Walioharibiwa nyumba na upepo wapewa msaada

IDARA ya Huduma za Maendeleo ya Jamii na Maafa ya Kanisa Katoliki (CARITAS) Jimbo la Sumbawanga mkoani Rukwa imetoa msaada kwa wakazi wa kijiji cha Kakese ambao nyumba zao ziliharibiwa vibaya na upepo mkali na kusababisha zaidi ya familia 30 kukosa makazi hivi karibuni.

 

10 years ago

Habarileo

Mabalozi nyumba kumi wapewa somo

MATUKIO ya kutishia amani ya nchi na usalama wa raia yatapungua kama mabalozi wa nyumba kumi watafanya kazi zao kwa uaminifu.

 

11 years ago

GPL

Jaja, Coutinho wapewa nyumba Uswazi

Mshambuliaji  wa Yanga SC, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Mwandishi Wetu
WACHEZAJI wawili wa Yanga, raia wa Brazil, wameushangaza uongozi wa klabu hiyo baada ya kusema wanataka kuishi eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Kiungo Andrey Coutinho na mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’, wameuambia uongozi wa Yanga wasingependa kuishi sehemu ambazo zinajumuisha matajiri au zinazoonekana za...

 

11 years ago

GPL

WASANII WAPEWA FUTARI YA MALENGO KUTOKA GEPF

Wasanii wa filamu na muziki Bongo wamepigwa semina na wataalam wa mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kupitia mpango wa hiari wa kujiwekea akiba ya uzeeni. Semina hiyo iliyokwenda sambamba na futari yenye malengo, ilifanyika Julai 25, 2014 katika ukumbi wa Hoteli ya Blue Pearl iliyopo Ubungo jijini Dar.

 

10 years ago

Michuzi

WASANII WA BONGO MUVI WAPEWA SEMINA NA TCRA

 Mkurungezi wa Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA, Dk.Ally Simba akizungumza na waandishi wa habari juu ya semina ya kuwapiga brashi wa wasanii wa bongo Movie leo jijini Dar Dar es Salaam. Afisa Mwandamizi Mkuu wa Kitengo cha Watumiaji wa Huduma za Bidhaa za Mawasiliano wa TCRA,Thadeo Ringo akizungumza na baadhi na wasanii waliohudhuria semina hiyo hawapo pichani iliyoyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Polisi  Makao Makuu,Kitengo cha Kuzuia Uhalifu...

 

11 years ago

GPL

WASANII WAPEWA SOMO KUHUSU KUJIWEKEA AKIBA YA UZEENI

Baadhi ya wasanii waliohudhuria mkutano huo. Viongozi kutoka PSPF na COSOTA  ambao waliwapa somo waigizaji . Mwenyekiti wa Bongo Muvi,…

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YAKABIDHI NYUMBA KWA WASANII WA ORIJINO KOMEDI

Meneja Mipango na Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdallah Mselly (kulia) akimkabidhi msanii wa Orijino Komedi, Mjuni Silvery 'Mpoki funguo ya moja ya nyumba za gharama nafuu walizokopeshwa wasanii  wa kikundi hicho na NSSF wakati wa hafla fupi ya kukabidhi wasanii hao zilizopo Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam hivi karibuni, mkopo huo utalipwa kwa kipindi cha miaka 15. (Na Mpiga Picha Wetu)Baadhi ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na Shirika la Taifa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani