WASANII WAPEWA SOMO KUHUSU KUJIWEKEA AKIBA YA UZEENI
Baadhi ya wasanii waliohudhuria mkutano huo. Viongozi kutoka PSPF na COSOTA ambao waliwapa somo waigizaji . Mwenyekiti wa Bongo Muvi,…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Jul
Wasanii watakiwa kujiwekea akiba
WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwani kufanya hivyo kutawasaidia katika maisha yao baada ya kustaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JSP8AYlro2M/Vbfe40RecjI/AAAAAAAAtcM/N2CVA-byRzg/s72-c/1.jpg)
Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba
![](http://4.bp.blogspot.com/-JSP8AYlro2M/Vbfe40RecjI/AAAAAAAAtcM/N2CVA-byRzg/s400/1.jpg)
Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.
Mzee ...
11 years ago
MichuziCRDB YATOA SOMO KWA WANAWAKE WAJASIRIAMALI ZAIDI YA 1000 KUHUSU KUWEKA AKIBA
Akizungumzia Tamasha hilo, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Naima Malima alisema kuwa lengo la semina hiyo ni kuchochea utamaduni wa kuweka akiba kwa wanawake wajasiriamali na kuwaelimisha aina tofauti ya kuweka...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Zu3s6cU-O7w/VkYs8U9gS7I/AAAAAAAADMw/s1_lp_jTVsk/s72-c/picc.jpg)
WATANZANIA WAPEWA SOMO KUHUSU DIPLOMASIA YA uCHUM (ECONOMIC DIPLOMACY
![](http://2.bp.blogspot.com/-Zu3s6cU-O7w/VkYs8U9gS7I/AAAAAAAADMw/s1_lp_jTVsk/s640/picc.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KO_uZy5PJKA/VkYs7IYQQuI/AAAAAAAADMg/iM2NKPWLfO8/s640/kiw.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mPqqSfMnXTY/VkYs7ITa1NI/AAAAAAAADM8/kJrMrs9igUk/s640/alan.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Exim yahamasisha kujiwekea akiba
BENKI ya Exim Tanzania mwishoni mwa wiki ilifanya droo ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ili kuwahamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba.
Droo hiyo iliyosimamiwa na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, ni ya kwanza kati ya sita zinazotarajiwa kuendeshwa katika kampeni hiyo.
Akizungumza wakati wa kufanyika kwa droo hiyo, Meneja Bidhaa wa Benki ya Exim, Aloyse Maro, alisema kampeni hiyo ni sehemu ya jitahada za benki kuwapatia wateja wake faida zaidi pamoja...
11 years ago
Mwananchi25 Dec
SSRA yawashauri watu kujiwekea akiba
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Wanawake waaswa kujifunza kujiwekea akiba
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-beG3IzI47SY/XnEhqiHMGGI/AAAAAAALkMc/vnnzlse9Pd0SIY0rBuArhUsz8t-EKdMOgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_4336AA-768x512.jpg)
WATUMISHI OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI WAPEWA SOMO KUHUSU VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-beG3IzI47SY/XnEhqiHMGGI/AAAAAAALkMc/vnnzlse9Pd0SIY0rBuArhUsz8t-EKdMOgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_4336AA-768x512.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Rasilimali Watu na Utawala Bw. James Kibamba akizungumza na sehemu ya watumishi waliohudhulia mafunzo kuhusu namna sahihi ya kujinga na virusi vya ugonjwa wa Corona wakati akimkaribisha muwezeshaki Dkt. Peter Kibacha ambaye ni mtalaam bingwa wa afya na mtoto kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili. zoezi la kutoa elimu hiyo limefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo katika Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali uliopo Jijini Dar es Salaam.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_4359AA-1024x682.jpg)
Bw. Yusuph Varisanga kutoka kitengo...