Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba

WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwa kuwa kufanya hivyo kuna kumuhimu mkubwa katika maisha yao baada kuwa wamestaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.

Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.

Mzee ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wasanii watakiwa kujiwekea akiba

WASANII nchini wametakiwa kujenga utamaduni wa kujiwekea akiba katika mifuko mbalimbali ya jamii kwani kufanya hivyo kutawasaidia katika maisha yao baada ya kustaafu kazi zao au wanapokuwa hawana tena uwezo wa kufanya kazi.

 

11 years ago

GPL

WASANII WAPEWA SOMO KUHUSU KUJIWEKEA AKIBA YA UZEENI

Baadhi ya wasanii waliohudhuria mkutano huo. Viongozi kutoka PSPF na COSOTA  ambao waliwapa somo waigizaji . Mwenyekiti wa Bongo Muvi,…

 

10 years ago

Raia Tanzania

Exim yahamasisha kujiwekea akiba

BENKI ya Exim Tanzania mwishoni mwa wiki ilifanya droo ya kwanza ya kampeni ya Akaunti ya Malengo ili kuwahamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba.

Droo hiyo iliyosimamiwa na Bodi ya Michezo ya Kubahatisha nchini, ni ya kwanza kati ya sita zinazotarajiwa kuendeshwa katika kampeni hiyo.

Akizungumza wakati wa kufanyika kwa droo hiyo, Meneja Bidhaa wa Benki ya Exim, Aloyse Maro, alisema kampeni hiyo ni sehemu ya jitahada za benki kuwapatia wateja wake faida zaidi pamoja...

 

10 years ago

Habarileo

Magereza waelezwa umuhimu wa takwimu

MAOFISA Magereza wamekumbushwa kutambua kuwa takwimu rasmi zinahitajika kwa ajili ya kutunga sera, kupanga mipango ya maendeleo, kutathmini utekelezaji wa mikakati mbalimbali na kutoa maamuzi katika ngazi mbalimbali kwa ajili ya Taifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanawake waaswa kujifunza kujiwekea akiba

Wanawake nchini wameaswa kujenga tabia ya kutunza akiba, ili kufikia malengo wanayojiwekea kwa maendeleo ya familia zao.

 

11 years ago

Mwananchi

SSRA yawashauri watu kujiwekea akiba

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Irene Isaka amesema kuwa wananchi wengi wanaogopa kujiwekea akiba kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii kutokana na hisia potovu kuwa wao ni maskini.

 

10 years ago

Habarileo

Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi

URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.

 

10 years ago

Michuzi

WAKAGUZI WA MIGODI WAELEZWA UMUHIMU WA CHECKLIST KATIKA UKAGUZI

Imeelezwa kuwa, wakaguzi wa migodi wanao mchango mkubwa katika kuepusha ajali zinazotokea migodini hususani kwa wachimbaji wadogo endapo watatoa mapendekezo na maoni yatakayowezesha kuandaa miongozo (checklist) itakayotumika katika ukaguzi wa migodi.
Hayo yameelezewa na Mtaalamu kutoka Idara ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini , Mhandisi Noel Baraka wakati akitoa mada katika kikao kazi cha wakaguzi wa migodi wanaokutana kwa lengo la kuandaa checklist zitakazotumika kwa ajili ya shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani