Magereza waelezwa umuhimu wa takwimu
MAOFISA Magereza wamekumbushwa kutambua kuwa takwimu rasmi zinahitajika kwa ajili ya kutunga sera, kupanga mipango ya maendeleo, kutathmini utekelezaji wa mikakati mbalimbali na kutoa maamuzi katika ngazi mbalimbali kwa ajili ya Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba

Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.
Mzee ...
10 years ago
Michuzi
WAKAGUZI WA MIGODI WAELEZWA UMUHIMU WA CHECKLIST KATIKA UKAGUZI
Hayo yameelezewa na Mtaalamu kutoka Idara ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini , Mhandisi Noel Baraka wakati akitoa mada katika kikao kazi cha wakaguzi wa migodi wanaokutana kwa lengo la kuandaa checklist zitakazotumika kwa ajili ya shughuli za...
10 years ago
Habarileo16 May
Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi
URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
10 years ago
Habarileo08 Jul
Asisitiza umuhimu wa takwimu sahihi
MKURUGENZI Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa amesisitiza umuhimu wa kuwa na takwimu sahihi za mazingira ili kuepuka madhara yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.
11 years ago
Michuzi01 Sep
Umuhimu wa vipimo na takwimu ili kuboresha biashara

Ingawa ushindani ni mkubwa sanasana, lakini...
10 years ago
Michuzi
MAAFISA WA JESHI LA MAGEREZA WAPEWA MAFUNZO KUHUSU TAKWIMU RASMI


5 years ago
Michuzi
KAMISHNA JENERALI WA MAGEREZA, SULEIMAN MZEE AWAFUNDA WAKUU WA MAGEREZA ALIOWATEUA HIVI KARIBUNI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA AGENDA YA MABADILIKO NDANI YA JESHI LA MAGEREZA

Kamishna Jenerali wa Magereza, Suleiman Mzee akitoa maelekezo maalum leo Mei 04, 2020 katika kikao kazi cha Maafisa wa Jeshi la Magereza walioteuliwa hivi karibuni kushika nyadhifa mbalimbali katika Jeshi hilo wakiwemo wakuu wa magereza, Boharia Mkuu wa Jeshi ambapo Jenerali Mzee amewataka kuhakikisha kuwa wanasimamia ipasavyo Agenda ya mabadiliko ndani ya Jeshi la Magereza.

10 years ago
Michuzi
CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA KUTILIANA SAINI YA MKATABA WA MAKUBALIANO YA MAFUNZO YA WATALAAM WA TAKWIMU NA CHUO CHA TAKWIMU CHA INDIA


10 years ago
Michuzi
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU KUADHIMISHA SIKU YA TAKWIMU AFRIKA KESHO

