WAKAGUZI WA MIGODI WAELEZWA UMUHIMU WA CHECKLIST KATIKA UKAGUZI

Imeelezwa kuwa, wakaguzi wa migodi wanao mchango mkubwa katika kuepusha ajali zinazotokea migodini hususani kwa wachimbaji wadogo endapo watatoa mapendekezo na maoni yatakayowezesha kuandaa miongozo (checklist) itakayotumika katika ukaguzi wa migodi.
Hayo yameelezewa na Mtaalamu kutoka Idara ya Madini, Wizara ya Nishati na Madini , Mhandisi Noel Baraka wakati akitoa mada katika kikao kazi cha wakaguzi wa migodi wanaokutana kwa lengo la kuandaa checklist zitakazotumika kwa ajili ya shughuli za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
KAMATI YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI
11 years ago
Michuzi
KAMATI YA BUNGE YA ARDHI,MALIASILI NA MAZINGIRA YAENDELEA NA UKAGUZI KATIKA MIGODI

10 years ago
Habarileo23 Jan
Magereza waelezwa umuhimu wa takwimu
MAOFISA Magereza wamekumbushwa kutambua kuwa takwimu rasmi zinahitajika kwa ajili ya kutunga sera, kupanga mipango ya maendeleo, kutathmini utekelezaji wa mikakati mbalimbali na kutoa maamuzi katika ngazi mbalimbali kwa ajili ya Taifa.
10 years ago
Michuzi
Wasanii waelezwa umuhimu wa kujiwekea akiba

Hayo yalisemwa na msanii mkongwe wa maigizo hapa nchini Bakari Mbelemba maarufu kwa jina la Mzee Jangala wakati akizungumza katika Jukwaa la na Sanaa lililofanyika Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mwanzoni mwa wiki hii jijini Dar es Salaam.
Mzee ...
10 years ago
Habarileo16 May
Waelezwa umuhimu mchango wa urithi wa utamaduni kuinua uchumi
URITHI wa utamaduni umeelezwa kuwa ni moja kati ya vitegauchumi muhimu ambapo kama utatumika vyema utaleta mchango mkubwa kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
10 years ago
Michuzi
Taasisi kutoka India yawapiga msasa wakaguzi wa migodi nchini


10 years ago
Mwananchi01 Apr
Wajawazito, watoto walivyo hatarini katika migodi Geita
11 years ago
Vijimambo
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika Migodi



10 years ago
Zitto Kabwe, MB27 Nov
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
TAARIFA YA KAMATI KUFUATIA MATOKEO YA UKAGUZI MAALUM WA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KATIKA AKAUNTI YA TEGETA ESCROW ILIYOKUWA KATIKA BENKI KUU YA TANZANIA
View this document on Scribd