Kada CCM atinga na chopa ya Ndesa mkutanoni Moshi
Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Buni Ramole anayewania Ubunge Jimbo la Moshi Mjini, juzi alitinga mkutanoni na helkopta inayomilikiwa na Mbunge wa Moshi mjini, Philemon Ndesamburo (Chadema).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Viongozi CCM watimuliwa mkutanoni
WANANCHI wa Kata ya Kambasegela wilayani Rungwe mkoani hapa, wamewafukuza viongozi wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM wa kata hiyo walipotaka kufanya mkutano wa hadhara ili kuimarisha chama chao. Akizungumza...
10 years ago
Mtanzania20 Feb
Kigogo CCM afia mkutanoni
Na Is-haka Omar, Zanzibar
MWAKILISHI wa Magomeni visiwani Zanzibar, Salmin Awadhi Salmin (CCM), amefariki dunia ghafla baada ya kuanguka katika kikao cha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kilichokuwa kinafanyika katika ofisi kuu ya chama hicho, Kisiwandui mjini Unguja.
Taarifa hiyo ilianza kuenea mjini Unguja jana saa 6 mchana, na hata kuzua maswali kutoka kwa wananchi kuhusu utata wa kifo chake.
Salmin (57) ambaye pia alikuwa ni mnadhimu wa wawakilishi wa CCM na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-3F6zqXGeP0g/VUoPNyqyxHI/AAAAAAAAPBY/1ofpwPBJ8Us/s72-c/E86A6750%2B(800x533).jpg)
KADA WA CHAMA CHA MAPINDUZI ANSI MMASI ATOA MSAADA KWA WALIOATHIRIKA NA MFURIKO MOSHI VIJIJINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-3F6zqXGeP0g/VUoPNyqyxHI/AAAAAAAAPBY/1ofpwPBJ8Us/s1600/E86A6750%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-HkD7sF552fg/VUoPNlF8eoI/AAAAAAAAPBQ/lWf7bGGapCM/s1600/E86A6755%2B(800x533).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BF1RkkrVPp0/VUoPNxLaW_I/AAAAAAAAPBU/onZzCot1XdQ/s1600/E86A6764%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KS-UerEEyDw/VUoPTsQO3LI/AAAAAAAAPBw/ShO-KCmt9aY/s1600/E86A6775%2B(800x533).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LV596Oq2GKU/VUoPUJwxBEI/AAAAAAAAPB4/E0SfJD7kFd0/s1600/E86A6780%2B(800x533).jpg)
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Chopa inayosadikiwa kubeba makada wa CCM yaanguka
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Chopa iliyobeba makada wa CCM yaanguka Selous
Na Dennis Luambano, Dar es Salaam
HELIKOPTA iliyobeba makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ikitokea Dar es Salaam kwenda Njombe imeanguka ndani ya Pori la Akiba la Selous lililopo eneo la Kilombero mkoani Morogoro.
Akitoa taarifa za ajali hiyo kwa MTANZANIA jana, Meneja wa Selous, Benson Kibonde, alisema helikopta hiyo ilianguka karibu na Mto Ruaha katika Kitalu cha Uwindaji cha R3.
“Ajali hiyo imetokea jana jioni na tulipata taarifa kwa njia ya simu ya satellite kutoka kwa professional...
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Kada aionya CCM urais
10 years ago
Mwananchi10 Jun
Dk Mahiga kada wa 25 urais CCM
10 years ago
Mtanzania12 May
Kada CCM ampiga katibu wake
NA ELIYA MBONEA, SIMANJIRO
KADA wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa Kata ya Endiamtu Mirerani wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Issa Katuga anadaiwa kumpiga ngumi na mateke Katibu wa chama hicho, Salimu Kombo baada ya kumtuhumu kugoma kuidhinisha matumizi ya Sh bilioni moja kwa ajili ya kwenda kulipa madeni.
Tukio hilo linadaiwa kutokea mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Ofisi za CCM za kata hiyo, baada ya Mwenyekiti Katunga kumtuhumu katibu wake kuwa amegoma kuidhinisha fedha...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/kada.jpg)
KADA CCM ASIMULIA ALIVYONUSA KIFO!