Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kadi za kliniki zazusha balaa


Na Ahmed Makongo, Bunda
WANAWAKE katika Jimbo la Mwibara wilayani Bunda mkoani Mara, wameilalamikia hatua ya hospitali, vituo vya afya na zahanati za serikali na binafsi kuwauzia kadi za kliniki kwa gharama ya sh. 2,000.
Walitoa malalamiko hayo jana mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, ambaye yuko ziarani kuhamasisha shughuli za maendeleo na kukagua ujenzi wa maabara katika sekondari za kata.
Walidai baadhi ya wauguzi wa hospiali, vituo vya afya na zahanati katika jimbo hilo,...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sasa umiss kwa kadi ya kliniki

Katika hali ya kuchukua ahadhari zaidi, waandaaji wa mashindano ya kumsaka Miss Universe Tanzania 2014, wameamua kutumia kadi za kliniki za watoto kujiridhisha katika suala la kupata umri halisi wa warembo wao.

 

9 years ago

Bongo5

Kunani kati ya Ben Pol na Alikiba? Tweets hizi zazusha utata mkubwa!

Kiba

Kuna tatizo kati ya Ben Pol na Alikiba?

Kiba

Au Ben ameamua kutoa mtazamo wake wa moyoni juu ya hitmaker huyo wa Chekecha? Maswali ni mengi lakini ukweli ni kwamba tweet ya Ben kwa Kiba ina utata mkubwa.

“Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?” ameandika Ben Pol.

Bro @OfficialAliKiba mi naona kama unakuwa overrated halafu inakugharimu.. au Haikugharimu?

— Ben Pol (@IamBenPol) December 17, 2015

Well, neno ‘overrated’ ndio kiini cha ujumbe wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanaume wahudhurie kliniki’

Wajawazito nchini wametakiwa kuwashirikisha waume zao kliniki kwa kupewa huduma na vipimo mbalimbali kwa ajili ya ukuaji wa mimba hadi watakapojifungua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kliniki ya wanawake yazinduliwa

HOSPITALI YA Taifa ya Muhimbili imezindua kliniki maalumu ya uchunguzi wa afya ya wanawake (WWC) yenye lengo la kutoa vipimo. Kliniki hiyo itatoa huduma za uchunguzi wa saratani ya shingo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umuhimu wa kuanza kliniki mapema

MOJA ya matatizo ya huduma za uzazi Tanzania ni kina mama kuchelewa kuanza kuhudhuria kliniki. Ni kwa nini wanachelewa? Kutokana na stori za wasichana wawili walio na mimba unazoona kwenye...

 

10 years ago

Habarileo

Kliniki kuwezesha afya tele

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.WAJAWAZITO mkoani T a b o r a wameaswa k u a n z a huduma za kliniki mapema sana ili kuepuka madhara ya uzazi na kutunza ujauzito wao vizuri kupitia huduma za afya ya uzazi kwa mama na mtoto zinazotolewa katika vituo mbalimbali vya afya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani ilishambulia kliniki 'kimakosa'

Ndege ya kijeshi ya Marekani iliishambulia kliniki moja ya shirika la madaktari wasio na mipaka MSF katika mji wa Afghanistan wa Kunduz

 

10 years ago

BBCSwahili

Kliniki ya wanaume waliobakwa Sweden

Hospitali moja mjini Stockholm nchini Sweden inatarajiwa kufungua kliniki ya kwanza ya wanaume waliobakwa.

 

10 years ago

GPL

MAMA AIBIWA MTOTO KLINIKI!

Dustan Shekidele, Morogoro Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Martha Masawe (20), mkazi wa Kilakala mkoani hapa, ameibiwa mtoto mchanga mwenye umri wa siku 34 akiwa katika Hospitali ya Nunge, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Martha Masawe akiwa kwenye foleni. Tukio lililofanywa kimafia lilijiri Ijumaa iliyopita saa 7:00 mchana wakati Martha akiwa kwenye foleni. Akihojiwa na Ijumaa Wikienda huku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani