‘Wanaume wahudhurie kliniki’
Wajawazito nchini wametakiwa kuwashirikisha waume zao kliniki kwa kupewa huduma na vipimo mbalimbali kwa ajili ya ukuaji wa mimba hadi watakapojifungua.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Kliniki ya wanaume waliobakwa Sweden
11 years ago
Habarileo14 Jun
Wanaume waaswa kusindikiza wenza wao kliniki
WANAUME wamehimizwa kuwasindikiza wenza wao ambao ni wajawazito kliniki wakati wa kupima afya zao na kuwa nao karibu wakati wote wa malezi ya watoto wao.
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP
Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki
Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s72-c/07dcmbege.jpg)
Story ya wanawake wa Rombo kukodi wanaume Kenya kuwaridhisha kimapenzi yatinga bungeni, wanaume wataka waombwe radhi
![](http://4.bp.blogspot.com/-gl49bYfuLRU/VV4Ef12encI/AAAAAAAAuI4/VXWFgPJinb8/s640/07dcmbege.jpg)
Habari iliyoandikwa kwenye gazeti la Mwananchi juzi yenye kichwa cha habari ‘Wanawake wa Rombo wakodi wanaume kutoka Kenya’ imeibukia bungeni leo.Habari hiyo iliandikwa kutokana na kauli aliyoitoa mkuu wa wilaya ya Rombo, Lembris Kipuyo, aliyedai kuwa kutokana na wanaume wa wilaya hiyo kuwa walevi wa kutupa, wake zao wamekuwa wakikodi wanaume kutoka Kenya ili kuwaridhisha kimapenzi.
“Tatizo la ulevi wilayani Rombo na matumizi ya pombe zisizokuwa na viwango ni kubwa sana na linahitaji nguvu...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Kliniki ya wanawake yazinduliwa
HOSPITALI YA Taifa ya Muhimbili imezindua kliniki maalumu ya uchunguzi wa afya ya wanawake (WWC) yenye lengo la kutoa vipimo. Kliniki hiyo itatoa huduma za uchunguzi wa saratani ya shingo...
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Kadi za kliniki zazusha balaa
Na Ahmed Makongo, Bunda
WANAWAKE katika Jimbo la Mwibara wilayani Bunda mkoani Mara, wameilalamikia hatua ya hospitali, vituo vya afya na zahanati za serikali na binafsi kuwauzia kadi za kliniki kwa gharama ya sh. 2,000.
Walitoa malalamiko hayo jana mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Joshua Mirumbe, ambaye yuko ziarani kuhamasisha shughuli za maendeleo na kukagua ujenzi wa maabara katika sekondari za kata.
Walidai baadhi ya wauguzi wa hospiali, vituo vya afya na zahanati katika jimbo hilo,...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kliniki ARS yafikia tamati
KLINIKI ya siku tano ya kimataifa ya Airtel Rising Stars (ARS), imefikia tamati jana, huku washiriki wakiwa na shauku kubwa ya kutumia ujuzi waliopata kwa kuwa nyota wa soka kwenye...
10 years ago
Habarileo15 Mar
Kliniki kuwezesha afya tele
WAJAWAZITO mkoani T a b o r a wameaswa k u a n z a huduma za kliniki mapema sana ili kuepuka madhara ya uzazi na kutunza ujauzito wao vizuri kupitia huduma za afya ya uzazi kwa mama na mtoto zinazotolewa katika vituo mbalimbali vya afya.