Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kliniki kuwezesha afya tele

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.WAJAWAZITO mkoani T a b o r a wameaswa k u a n z a huduma za kliniki mapema sana ili kuepuka madhara ya uzazi na kutunza ujauzito wao vizuri kupitia huduma za afya ya uzazi kwa mama na mtoto zinazotolewa katika vituo mbalimbali vya afya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

NHIF yalipa bil. 5/- za Tele kwa Tele

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa CHF, Rehani AthumaniMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeshalipa halmashauri mbalimbali zaidi ya Sh bilioni 5 kama mchango wa serikali katika mfumo wa tele kwa tele.

 

9 years ago

Global Publishers

Kliniki ya afya ya mapenzi Mwanza yaungua moto

moto mwanza (1)

Moto mkali ukiunguza Ofisi za Kliniki ya afya ya mapenzi iliyopo jijini Mwanza leo.

moto mwanza (2)moto mwanza (11)

Ofisi hizo zikizidi kuungua kwa moto.

moto mwanza (4) moto mwanza (5)moto mwanza (10)

Zimamoto wakijaribu kupambana na moto huo.

moto mwanza (6) moto mwanza (7) moto mwanza (8) moto mwanza (9)

Na Idd Mumba, Mwanza

Ofisi za Kliniki ya afya ya mapenzi iliyopo jijini Mwanza karibu na jengo la Nyanza leo majira ya saa tisa alasiri imeungua moto na kuteketeza vitu mbalimbali vilivyokuwepo katika kliniki hiyo.

Wakizungumza na www.globalpublishers.co.tz mashuhuda wa tukio hilo wamesema waliona moshi ukitoka katika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wanaume washiriki afya ya uzazi, jinsia kwa kusindikiza wake zao kliniki

DSC09657

Kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Singida, Joseph Sabore (anayeangalia kamera) akizungumza na maafisa wa shirika lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA), YMC na WaterAid Tanzania, ambao wako katika halmashauri hiyo kufanya tathimini ya mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika afya ya uzazi na ujinsia. Mradi huo unaotarajiwa kugharimu zaidi ya shilingi 1.6 bilioni, unatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu na unatarajiwa kufikia ukingoni...

 

10 years ago

Vijimambo

KESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG

Mawakili kutoka Kampuni ya Kamanija and Company Advocates, wanao mtetea Dk. Juma Mwaka katika kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya maofisa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wanaodaiwa kuifunga Kliniki ya ForePlan Herbal iliyopo Ilala, inayomilikiwa na Dk.Mwaka, wakizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam leo, mara baada ya kusikiliza kesi hiyo ambapo itatolewa uamuzi Novemba 26 mwaka huu iwapo kama upande wa jamhuri utaunganishwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

'Homework' tele ni ugonjwa kwa mwanao.

Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Oviedo, nchini Hispania ,umegundua masomo ya nyumbani yakizidi saa moja,ufanisi hushuka

 

10 years ago

Mwananchi

Vikwazo tele ukusanyaji wa damu salama

ukusanyaji wa damu kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, NBTS inasema bado kuna vikwazo vingi vinavyokabili ukusanyaji wa damu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Mafanikio tele sekta ya habari Zanzibar

WIZARA Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imeeleza kuwa katika Sekta ya Habari mafanikio makubwa yamefikiwa katika utekelezaji wa malengo ya kila siku ambayo yamesaidia kukuza sekta hiyo hapa nchini.

 

9 years ago

Vijimambo

UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE

 Wakazi wa Ubungo wakimshangilia kwa shangwe mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli. Wananchi wakiwamtandikia apite.

 

10 years ago

Vijimambo

MAJONZI TELE! FAMILIA YALA KRISMASI NJE!

Familia hiyo ikiwa nje baada ya nyumba yao kuvunjwa. Stori: Deogratius Mongela na Chande AbdallahFamilia moja yenye makazi yake Mtaa wa Mwembe-Madafu, Ukonga jijini Dar, imejikuta ikila Sikukuu ya Krismasi na kulala nje kwa madai kwamba nyumba yao imevunjwa na baada ya kuuzwa kwa mtu mwingine na mwanafamilia anayetajwa kwa jina la Omary Hamisi ambaye ni mtoto mkubwa wa familia hiyo. Akizungumza kwa masikitiko makubwa mbele ya waandishi wetu, mmoja wa wanafamilia hao, Rajabu Hamisi (28)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani