Vikwazo tele ukusanyaji wa damu salama
ukusanyaji wa damu kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, NBTS inasema bado kuna vikwazo vingi vinavyokabili ukusanyaji wa damu nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziNBTS MTWARA YAFIKIA ASILIMIA 94 UKUSANYAJI DAMU SALAMA KWA WIKI MBILI
Na. WAMJW - Mtwara
Mpango wa Taifa wa damu Salama (NBTS), Kanda ya kusini, umefikia asilimia zaidi ya 94 ya ukusanyaji wa damu salama sawa na chupa 374 katika wiki ya kuadhimisha siku ya wachangia damu duniani.
Hayo yamesemwa leo na Meneja wa mpango wa Taifa wa Damu Salama Kanda ya Kusini iliyopo mtwara Dkt. Pendael Sifuel wakati akizungumza kuhusu wiki ya maadhimisho hayo ambayo duniani hufanyika Juni 14 kila mwaka.
“Kanda yetu tulikuwa na lengo la kukusanya chupa 400 kwa wiki mbili za...
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
11 years ago
Michuzi.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF KUPIMA AFYA NA KUKUSANYA DAMU KWA USHIRIKIANO WA MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA KATIKA MIKOA SITA
5 years ago
Michuzi
UKOSEFU WA VIFAA WAKWAMISHA ZOEZI LA UKUSANYAJI DAMU YA KUTOSHA MKOANI KIGOMA
Imeelezwa kuwa ukosefu mkubwa wa vifaa vya kufanyia kazi wakati wa zoezi la ukusanyaji damu katika wilaya mbalimbali za mkoa Kigoma umekwamisha mpango wa kukusanya damu ya kutosha kwa ajili ya benki ya damu mkoani humo.
Meneja mradi wa damu salama mkoa Kigoma, Abichi Maramba akizungumza wakati wa kukabidhi vifaa hivyo kwa Mganga Mkuu wa mkoa Kigoma, Simon Chacha kwa niaba ya kituo cha damu salama mkoani humo alisema kuwa wakati mwingine uhamasishaji...
10 years ago
Habarileo08 Apr
NHIF yalipa bil. 5/- za Tele kwa Tele
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeshalipa halmashauri mbalimbali zaidi ya Sh bilioni 5 kama mchango wa serikali katika mfumo wa tele kwa tele.
9 years ago
Habarileo06 Jan
Halmashauri zatakiwa kutenga bajeti damu salama
SERIKALI imezitaka kila halmashauri nchini kuhakikisha kuwa inatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya damu ili kuwezesha wagonjwa wanaohitaji huduma hiyo kuipata na kuepusha kupoteza maisha ya watu hususan wajawazito na watu walioathirika na ajali.
10 years ago
Habarileo23 Mar
Washauri bajeti Mpango Taifa wa Damu Salama
SERIKALI imeshauriwa kuongeza bajeti ya Mpango wa Taifa wa Damu Salama (NBTS) ili kukabiliana na tatizo la upungufu wa damu salama linalovikabili vituo vingi vya kutolea huduma nchini.
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Hospitali Tumbi yahitaji kituo cha damu salama
HOSPITALI Teule ya Rufaa ya Tumbi iliyopo Kibaha mkoani Pwani, inakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo ukosefu wa kituo cha damu salama. Ukosefu wa kituo hicho umekuwa ukisababisha damu inayokusanywa hospitalini...