Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NHIF yalipa bil. 5/- za Tele kwa Tele

Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa CHF, Rehani AthumaniMFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umeshalipa halmashauri mbalimbali zaidi ya Sh bilioni 5 kama mchango wa serikali katika mfumo wa tele kwa tele.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

'Homework' tele ni ugonjwa kwa mwanao.

Utafiti uliofanywa na chuo kikuu cha Oviedo, nchini Hispania ,umegundua masomo ya nyumbani yakizidi saa moja,ufanisi hushuka

 

9 years ago

Vijimambo

UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE

 Wakazi wa Ubungo wakimshangilia kwa shangwe mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli. Wananchi wakiwamtandikia apite.

 

10 years ago

Habarileo

Kliniki kuwezesha afya tele

Waziri wa Afya, Dk Seif Rashid.WAJAWAZITO mkoani T a b o r a wameaswa k u a n z a huduma za kliniki mapema sana ili kuepuka madhara ya uzazi na kutunza ujauzito wao vizuri kupitia huduma za afya ya uzazi kwa mama na mtoto zinazotolewa katika vituo mbalimbali vya afya.

 

9 years ago

Michuzi

UBUNGO WAMPOKEA DK. MAGUFULI KWA FURAHA TELE, WASEMA DK. MAGUFULI NDIYO MKOMBOZI WAO

 Wakazi wa Ubungo wakimshangilia kwa shangwe mgombea wa Urais kwa Tiketi ya CCM, Dk. Magufuli. Wananchi wakiwamtandikia apite.

 

10 years ago

Habarileo

Mafanikio tele sekta ya habari Zanzibar

WIZARA Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imeeleza kuwa katika Sekta ya Habari mafanikio makubwa yamefikiwa katika utekelezaji wa malengo ya kila siku ambayo yamesaidia kukuza sekta hiyo hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Vikwazo tele ukusanyaji wa damu salama

ukusanyaji wa damu kutoka makundi mbalimbali ya kijamii, NBTS inasema bado kuna vikwazo vingi vinavyokabili ukusanyaji wa damu nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Ni lini tutakuwa na uchaguzi usio na kasoro tele?

Kwa mujibu wa Ibara ya 145 ya Katiba, serikali za mitaa ni vyombo vya wananchi ambavyo huundwa, huendeshwa na huwajibika kwa wananchi.

 

10 years ago

Vijimambo

MAJONZI TELE! FAMILIA YALA KRISMASI NJE!

Familia hiyo ikiwa nje baada ya nyumba yao kuvunjwa. Stori: Deogratius Mongela na Chande AbdallahFamilia moja yenye makazi yake Mtaa wa Mwembe-Madafu, Ukonga jijini Dar, imejikuta ikila Sikukuu ya Krismasi na kulala nje kwa madai kwamba nyumba yao imevunjwa na baada ya kuuzwa kwa mtu mwingine na mwanafamilia anayetajwa kwa jina la Omary Hamisi ambaye ni mtoto mkubwa wa familia hiyo. Akizungumza kwa masikitiko makubwa mbele ya waandishi wetu, mmoja wa wanafamilia hao, Rajabu Hamisi (28)...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani