Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kliniki ya wanawake yazinduliwa

HOSPITALI YA Taifa ya Muhimbili imezindua kliniki maalumu ya uchunguzi wa afya ya wanawake (WWC) yenye lengo la kutoa vipimo. Kliniki hiyo itatoa huduma za uchunguzi wa saratani ya shingo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wapinga Foreplan Kliniki kufungiwa

ZAIDI ya wanawake 200 jijini Dar es Salaam,  wameandamana hadi katika ofisi za Foreplan Kliniki, iliyopo Ilala-Bungoni, kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kukifungua kituo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita....

 

10 years ago

Habarileo

Mke wa Rais ahimiza kliniki kuokoa maisha ya wanawake

Mke wa Rais, Mama Salma KikweteMKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kuendelea kupunguza vifo wakati wa kujifungua kwa kuhudhuria kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito.

 

5 years ago

Michuzi

WORLD VISION YAHAMASISHA KLINIKI KWA WAJAWAZITO, MATUMIZI YA MAZIWA YA MBUZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI



Kushoto ni Afisa Lishe Mradi wa ENRICH unaotekelezwa na Shirika la World Vision , Stella Mbuya na Afisa Jinsia na Utetezi wa Shirika la World Vision kupitia mradi wa ENRICH, Magreth Mambali wakionesha alama ya Usawa wa Kijinsia.


Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Wanawake wajawazito wamekumbushwa umuhimu wa kuhudhuria Kliniki angalau mara nne katika kipindi chote cha ujauzito ili waweze kupata huduma zote za msingi ili wajifungue salama kupunguza vifo vya uzazi vya mama na mtoto.

Rai hiyo...

 

11 years ago

Michuzi

NITETEE FOUNDATION YAZINDULIWA RASMI JIJINI MWANZA KUTETEA WANAWAKE NA WATOTO WANAOSHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU TANZANIA.

Nguvu imeongezeka katika jitihada za kusaidia jamii ya wanaoishi mazingira magumu hapa nchini baada ya kuzinduliwa taasisi inayojishughulisha na kutoa misaada ya kibinaadamu kwa wanawake na watoto walio kwenye mahitaji makubwa hasa jamii ya vijijini na nje ya miji, inayojulikana kama NITETEE FOUNDATION toka jijini Mwanza.   Shirika hilo la maendeleo kwa ajili ya wanawake na watoto nchini Tanzania lilizinduliwa usiku wa Jumapili na mgeni rasmi ambae alikuwa ni mke wa Naibu Waziri wa Uchukuzi...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Wanaume wahudhurie kliniki’

Wajawazito nchini wametakiwa kuwashirikisha waume zao kliniki kwa kupewa huduma na vipimo mbalimbali kwa ajili ya ukuaji wa mimba hadi watakapojifungua.

 

10 years ago

GPL

MAMA AIBIWA MTOTO KLINIKI!

Dustan Shekidele, Morogoro Inauma sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, Martha Masawe (20), mkazi wa Kilakala mkoani hapa, ameibiwa mtoto mchanga mwenye umri wa siku 34 akiwa katika Hospitali ya Nunge, Ijumaa Wikienda lina ‘full’ stori. Martha Masawe akiwa kwenye foleni. Tukio lililofanywa kimafia lilijiri Ijumaa iliyopita saa 7:00 mchana wakati Martha akiwa kwenye foleni. Akihojiwa na Ijumaa Wikienda huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kliniki ARS yafikia tamati

KLINIKI ya siku tano ya kimataifa ya Airtel Rising Stars (ARS), imefikia tamati jana, huku washiriki wakiwa na shauku kubwa ya kutumia ujuzi waliopata kwa kuwa nyota wa soka kwenye...

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani ilishambulia kliniki 'kimakosa'

Ndege ya kijeshi ya Marekani iliishambulia kliniki moja ya shirika la madaktari wasio na mipaka MSF katika mji wa Afghanistan wa Kunduz

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani