Wanawake wapinga Foreplan Kliniki kufungiwa
ZAIDI ya wanawake 200 jijini Dar es Salaam, wameandamana hadi katika ofisi za Foreplan Kliniki, iliyopo Ilala-Bungoni, kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kukifungua kituo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG
9 years ago
Global Publishers27 Dec
Wachimbaji wadogo wa Tanzanite wapinga kufungiwa migodi yao
Mwanachama wa chama cha wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (Marema) Tawi la Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Omary Mandari akizungumza kwenye mkutano wao ambapo waliazimia kuandamana kwa amani kupinga migodi yao 19 kusimamishwa kufanya kazi.
Mwanachama wa chama cha wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (Marema) Tawi la Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Zephania Joseph akizungumza kwenye mkutano wao ambapo waliazimia kuandamana kwa amani...
11 years ago
Tanzania Daima09 Mar
Kliniki ya wanawake yazinduliwa
HOSPITALI YA Taifa ya Muhimbili imezindua kliniki maalumu ya uchunguzi wa afya ya wanawake (WWC) yenye lengo la kutoa vipimo. Kliniki hiyo itatoa huduma za uchunguzi wa saratani ya shingo...
10 years ago
Habarileo06 Sep
Mke wa Rais ahimiza kliniki kuokoa maisha ya wanawake
MKE wa Rais Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchini kuendelea kupunguza vifo wakati wa kujifungua kwa kuhudhuria kliniki pindi wanapogundua kuwa ni wajawazito.
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Wapinga ukatili kwa wanawake, watoto
TAMASHA la kupinga ukatili wa kijinsia lililopewa jina la ‘siku ya rangi ya chungwa’ limenyika jijini Dar es Salaam kupinga unyanyasaji kwa mwanamke na mtoto wa kike. Akizungumza na waandishi...
5 years ago
MichuziWORLD VISION YAHAMASISHA KLINIKI KWA WAJAWAZITO, MATUMIZI YA MAZIWA YA MBUZI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Kushoto ni Afisa Lishe Mradi wa ENRICH unaotekelezwa na Shirika la World Vision , Stella Mbuya na Afisa Jinsia na Utetezi wa Shirika la World Vision kupitia mradi wa ENRICH, Magreth Mambali wakionesha alama ya Usawa wa Kijinsia.
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Wanawake wajawazito wamekumbushwa umuhimu wa kuhudhuria Kliniki angalau mara nne katika kipindi chote cha ujauzito ili waweze kupata huduma zote za msingi ili wajifungue salama kupunguza vifo vya uzazi vya mama na mtoto.
Rai hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Hatima ya Foreplan Clinic keshokutwa
HATIMA ya ombi la kuwataka maofisa wa afya waache kuingilia shughuli za kituo cha Sayansi ya Tiba Mbadala cha ‘Foreplan Clinic’ kinachoendeshwa na Dk. Juma Mwaka, itajulikana keshokutwa. Kituo hicho...
9 years ago
MichuziDK. KIGWANGALA AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA KATIKA KITUO FOREPLAN CLINIC KINACHOMILIKIWA NA DK. MWAKA
Akizungumza na wagonjwa...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Dk. Kigwangalla afanya ziara za kushtukiza katika Kituo Foreplan Clinic kinachomilikiwa na Dk. Mwaka
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwasili katika kituo cha Foreplan Clinic kinachotoa tiba mbadala kilichopo Ilala Bungoni, jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho jana jioni. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Tiba Asilia na Tiba Mbadala Dk.Paul Mhame kutoka wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,...