Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatima ya Foreplan Clinic keshokutwa

HATIMA ya ombi la kuwataka maofisa wa afya waache kuingilia shughuli za kituo cha Sayansi ya Tiba Mbadala cha ‘Foreplan Clinic’ kinachoendeshwa na Dk. Juma Mwaka, itajulikana keshokutwa. Kituo hicho...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Dk. Kigwangalla afanya ziara za kushtukiza katika Kituo Foreplan Clinic kinachomilikiwa na Dk. Mwaka

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwasili katika kituo cha Foreplan Clinic kinachotoa tiba mbadala kilichopo Ilala Bungoni,  jijini Dar es Salaam alipofanya ziara ya kushtukiza katika kituo hicho jana jioni. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Tiba Asilia na Tiba Mbadala Dk.Paul Mhame kutoka wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.(Picha na Geofrey Adroph wa Pamoja Blog)

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,...

 

9 years ago

Michuzi

DK. KIGWANGALA AFANYA ZIARA ZA KUSHTUKIZA KATIKA KITUO FOREPLAN CLINIC KINACHOMILIKIWA NA DK. MWAKA

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis Kigwangala leo majira ya jioni amefanya ziara ya kushtukiza katika kituo kinachotoa tiba mbadala cha Foreplan Clinic kinachomilikiwa na Dk. Mwaka Juma Mwaka kilichopo Ilala Bungoni na kujionea hali halisi ya kituo hicho. Mara baada ya kufika alianza kufanya ukaguzi kuanzia sehemu ya Mapokezi mpaka kwenye vyumba vya matabibu lakini katika vyumba vyote hakuna daktari aliyekuwa anatoa huduma.
Akizungumza na wagonjwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanawake wapinga Foreplan Kliniki kufungiwa

ZAIDI ya wanawake 200 jijini Dar es Salaam,  wameandamana hadi katika ofisi za Foreplan Kliniki, iliyopo Ilala-Bungoni, kupinga hatua iliyochukuliwa na serikali ya kukifungua kituo hicho mwishoni mwa wiki iliyopita....

 

5 years ago

Mwananchi

Kenya kuamua kuchaguana keshokutwa

Wakenya keshokutwa wanapiga kura kuchagua viongozi wa kuongoza mamlaka ya nchi kwa kipindi kingine cha miaka mitano, huku Kituo cha Taifa cha Haki za Binadamu nchini Kenya (KNCHR), Tume Huru ya Mipaka na Uchaguzi (IEBC) kuhakikisha matokeo ya kura zilizopigwa kwenye maeneo yasiyokuwa na mtandao yanakuwa sahihi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hitima ya Mama Zitto keshokutwa

HITIMA ya aliyekuwa Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Shida Salum, inatarajiwa kufanyika nyumbani kwake Tabata-Bima, Dar es Salaam Jumamosi ya wiki hii. Kwa mujibu...

 

11 years ago

GPL

9 years ago

Mwananchi

Nauli za mabasi ya DART kujadiliwa keshokutwa

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imeandaa mkutano wa kujadili viwango vya nauli za mabasi yatakayotoa huduma ya usafiri wa haraka jijini hapa, keshokutwa.

 

10 years ago

Habarileo

Stars kucheza na Libya keshokutwa Uturuki

TIMU ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro ambayo iliwasili juzi nchini Uturuki, imeendelea na mazoezi jana asubuhi katika viwanja viliyopo kwenye Hoteli ya Green Park – Kartepe.

 

10 years ago

Vijimambo

KESI YA MADAI DHIDI YA MAOFISA WA WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII KUDAIWA KUIFUNGA KLINIKI YA FOREPLAN HERBAL YAWAVUTA WATU WENG

Mawakili kutoka Kampuni ya Kamanija and Company Advocates, wanao mtetea Dk. Juma Mwaka katika kesi ya madai iliyofunguliwa dhidi ya maofisa wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, wanaodaiwa kuifunga Kliniki ya ForePlan Herbal iliyopo Ilala, inayomilikiwa na Dk.Mwaka, wakizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Mahakama ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam leo, mara baada ya kusikiliza kesi hiyo ambapo itatolewa uamuzi Novemba 26 mwaka huu iwapo kama upande wa jamhuri utaunganishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani