Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kajala, Mwasiti, Linah, Irene Uwoya, Wolper, Shilole,Keisha wameachia hii single mpya ya kutokomeza mauaji ya Albino

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Chakujifunza Kutoka kwa Wolper, Kajala na Irene Uwoya

Kama ulikuwa hujui basi nakuhabarisha, mastaa ambao wameshibana kwa sasa, namzunguzia wema sepetu pamoja na aunty Ezekiel. Hapo awali waliwahi kuingia kwenye bifu zito kisa kikidaiwa kuwa ni penzi la aliyekuwa mcheza filamu maarufu nchini, marehemu kanumba. Bifu hilo lilifikia pabaya ambapo mastaa hao walirushiana maneno makali kwenye mitandao kila mmoja akimshtumu mwenzie kumuibia bwana ake, bifu hilo lilidumu kwa mda mrefu, lakini sasa ivi mastaa hao wameshibana na kuishi kama ndugu, ya...

 

10 years ago

GPL

KAJALA KUTOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Na IMELDA MTEMA/Uwazi STAA wa filamu Bongo, Kajala Masanja kupitia kampuni yake ya Kay Intertainment, ameamua kuungana na mastaa kibao Bongo katika kutokomeza mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’ yaliokithiri hivi sasa. Kajala akiwa na wasanii wenzake. Akichezesha taya na Uwazi, Kajala na timu yake nzima wameunda kitu kinachoitwa ‘Simama Nami’ ambapo tayari wameshatunga wimbo wa pamoja...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!

Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka  jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi  (Albinos)  kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.

Siku ya jana  Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi  walijiongeza kuwa Riyama  na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...

 

10 years ago

GPL

BALOZI AJIPANGA KUTOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO

Henry Mdimu (katikati anayezungumza) akitoa ufafanuzi wa namna ya kutoa elimu juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi 'Albino' huku kushoto akiwa ni Mratibu wa Fedha na Udhamini wa Imetosha, Monica Joseph na Masoud Kipanya ambaye naye ni mmoja wa wakilishi wa Imetosha.…

 

9 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Arudi Mzigoni na Kutoa Fursa Hii

Baada ya mikikimikiki ya uchaguzi kuisha, Staa mrembo wa Bongo Movies ambate alikuwa akiwania nasi ya Ubunge kupitia viti maalum , Irene Uwoya amerudi tena kwenye fani yake na sasa yupo kwenye maadalizi ya kazi yake mpya.

Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram Uwoya ameandika

"Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawahi kuigiza! kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…swali la...

 

9 years ago

Bongo5

Irene Uwoya kurejea kwenye movie kwa style hii

11352128_823123387807063_106497935_n

Irene Uwoya amerudi rasmi katika filamu baada ya kumaliza pilika pilika za uchaguzi ambapo ametangaza deal kwa vijana wapya katika filamu.

11352128_823123387807063_106497935_n

Kupitia ukurasa wa Instagram, Irene ameandika:

Habari zenu wapendwa!kuna movie mpya naaandaa…tunahitaji wasanii wapya wakike na wakiume…ambao hawajawah kuigiza!kunamaswali tutauliza ukipita utaitwa kwajili ya form na mahojiano zaidi…..swali la kwanza!ntajie wasaniii watatu wanao kuvutia na kwanin?

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi...

 

10 years ago

CloudsFM

Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini

Msanii wa Bongo Fleva,Keisha akizungumza kwa uchungu kwenye kipindi cha Leo Tena kuhusiana na matukio ya mauaji ya Albino yanayoendelea hapa nchini,wasanii wengine waliokuwepo ni Kajala,Shamsa Ford,Mwasiti na wengineo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani