BALOZI AJIPANGA KUTOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO
Henry Mdimu (katikati anayezungumza) akitoa ufafanuzi wa namna ya kutoa elimu juu ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi 'Albino' huku kushoto akiwa ni Mratibu wa Fedha na Udhamini wa Imetosha, Monica Joseph na Masoud Kipanya ambaye naye ni mmoja wa wakilishi wa Imetosha.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGdgLoxE5ggE*Jrm4a-8mV2gJ0l5fTshQfu6gE44m-DaoHu57jj1TjGzy0JKE8vcR9TQWTk1dN8PvYFy0kMmDPB/6.jpg?width=650)
KAJALA KUTOKOMEZA MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Vijimambo25 Feb
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ny5jqDXwym4n0tpsKGrRaxkzq_npES4_mUSr02A6pnLPb3PgPrWjGj-aIJUnZuOW8bKovk-2jjyQEfvSSwpo0YWUaaPb4OwfaBpz_Ubhe5fx3HdCMsecgVWsSHeZkHqn5cz1Hrk1SLamdV3Bi2-WMtGG3Q=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Manongi-22-300x257.jpg)
Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mMRmJLLEzVGWffxgejeNLUKBTXBsTne1iyXtFzeu*PlO3Qq5bxy5ZgKDqW5FfxPbxGN1C8hSd8*PrNx3lSJ9UkO4lTQ1yL0J/ErnestMangu.jpg?width=650)
TUUNGANE KUTOKOMEZA UKATILI WANAOFANYIWA NDUGU ZETU ALBINO
11 years ago
Dewji Blog10 May
Waziri Nyalandu akabidhiwa magari ya kusaidia kampeni ya kutokomeza Majangili wa mauaji ya Tembo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nayalandu, akipokea funguo ya moja kati ya magari matatu aina ya Land Cruiser, yenye thamani ya Sh. milioni 350, kutoka kwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhifadhi Wanyamapori Tanzania, Eric Pasanisi, wakati wa hafla ya makabidhiano hayo iliyofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro wakati wa Kongamano la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo lililofunguliwa na Makamu wa Rais Dkt Bilal, jana limemalizika leo...
11 years ago
Dewji Blog10 May
Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua kongamano la siku mbili la kudhibiti Ujangili na kutokomeza mauaji dhidi ya Tembo
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, wakati alipowasili kwenye viwanja vya Hoteli ya Hyat Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam jana Mei 9, 2014 kwa ajili ya kufungua Kongamano la siku mbili la Kampeni ya kudhibiti Ujangili na kukomesha mauaji dhidi ya Tembo. Kongamano hilo linatarajia kumalizika leo. (Picha na OMR).
Washiriki wa Kongamano hilo, wakisimama kumkaribisha mgeni rasmi Makamu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA SIKU MBILI LA KUDHIBITI UJANGILI NA KUTOKOMEZA MAUAJI DHIDI YA TEMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E7XENtkTIcA/U2zMO1-LY3I/AAAAAAAFggU/ggFfalLfFvw/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uL6HBl09Ff0/U2zMNMg91YI/AAAAAAAFggQ/-PmQ35QicAQ/s1600/01.jpg)
Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia...