Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAJALA: UBONGE UNANIPA STRESS

Stori: Imelda Mtema
STAA wa filamu mwenye mvuto wa aina yake Bongo, Kajala Masanja amesema kuwa hakuna kitu kinachompa ‘stress’ kama unene hivyo ameamua kuanza mazoezi. Staa wa filamu mwenye mvuto wa aina yake Bongo, Kajala Masanja. Akizungumza na mwandishi wetu, Kajala alisema hakuna kitu ambacho kinampa ‘stress’ kama unene hivyo kuanzia sasa ameamua kuacha usingizi wake kila asubuhi ili kufanya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Ubonge ‘nyanya’ wamtesa Boban

Wakati Simba ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, imebainika kuwa Wekundu hao wa Msimbazi waliingia uwanjani wakiwaza namna ya kumkaba kiungo wao wa zamani Haruna Moshi ‘Boban’.

 

9 years ago

Bongo5

Msechu: Ukubwa wa Nyota unanipa wakati mgumu kuja na ngoma ya kuizidi

Peter Msechu amesema kwa jinsi wimbo wake Nyota ulivyofanya vizuri, anashindwa kupata wimbo mwingune utakaoweza kufanya vizuri zaidi yake. Msechu ameiambia Bongo5 jana kuwa licha ya kuwa tayari ana nyimbo nyingi amerekodi, anaona hazina nguvu kama Nyota iliyotangulia. “Sasa nipo kwenye maandalizi ya video mpya pia nina kazi nyingi ambazo zipo tayari lakini napata wakati […]

 

10 years ago

GPL

JACK PENTZEL: MUME WANGU ANAPENDA UBONGE

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz, amefunguka kuwa mume wake, Gadner Dibibi anapenda mwanamke mwenye mwili mkubwa yaani bonge. Muigizaji Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Jack alisema isingekuwa kuilinda ndoa, asingekubali auachie mwili wake aonekane bonge nyanya kiasi hicho alichonacho hivi...

 

11 years ago

Bongo Movies

Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala


Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji  Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari  ambayo  ilisambaa  katika  mitandao  mbalimbali  ya  kijamii.

Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...

 

11 years ago

TheCitizen

How to prevent and cope with stress

It may seem that there’s nothing you can do about stress. The bills won’t stop coming, there will never be more hours in the day, and your career and family responsibilities will always be demanding.

 

10 years ago

Daily News

PM lays stress on fair learning


PM lays stress on fair learning
Daily News
MORE strategic approaches are to be employed to improve the learning environment in the country, Premier Mizengo Pinda has said, insisting that providing education to the Tanzanian child is constitutional. Officiating at the opening of the Education Week ...

 

10 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani