Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JACK PENTZEL: MUME WANGU ANAPENDA UBONGE

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz, amefunguka kuwa mume wake, Gadner Dibibi anapenda mwanamke mwenye mwili mkubwa yaani bonge. Muigizaji Jacqueline Pentezel maarufu kwa jina la Jack wa Chuz Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Jack alisema isingekuwa kuilinda ndoa, asingekubali auachie mwili wake aonekane bonge nyanya kiasi hicho alichonacho hivi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JACK PENTZEL, MUMEWE KIMENUKA

Stori: Waandishi Wetu
NDOA ndoano! Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Steven Pentzel ‘Jack Pentzel’ na mumewe Gardner Dibibi wanadaiwa kukinukisha na kuingia kwenye gogoro la kila siku hadi mwanaume kutaka kuondoka nyumbani wanakoishi Mbezi-Shamba jijini Dar. Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Steven Pentzel ‘Jack Pentzel’ akiwa na mumewe Gardner Dibibi. Kikizungumza na Ijumaa Wikienda, chanzo...

 

11 years ago

GPL

MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU

STORI: MAKONGORO OGING’
Regina Kihosa (62), mkazi wa Kosolameba mkoani Kigoma amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kufuatia gonjwa la ajabu lililompata huku akidai kwamba limetokana na wachawi ambao wanausumbua mji wake. Regina Kihosa akiteseka kwa gonjwa la ajabu. KWANZA AMEPOTEZA WATOTO WANANE
Mama huyo amelazwa katika hospitali hiyo jengo la Sewahaji,wodi namba 24 akiendelea na matibabu na ana mawazo mengi...

 

11 years ago

GPL

MUME WA JACK CHUZ APATA AJALI

Stori: Shakoor Jongo na Musa Mateja
MUME wa msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi amesherehekea Sikukuu ya Idd vibaya baada ya kupata ajali wakati akienda msikitini. Mume wa msanii wa filamu Bongo, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi akionyesha majeraha baada ya ajali hiyo. Chanzo cha habari kilitiririka kuwa, Gadner alipata ajali hiyo maeneo ya Mlimani...

 

11 years ago

GPL

MUME WA JACK PATRICK AMNASA SALHA ISRAEL

Stori: Imelda Mtema SIRI imefichuka! Mume (bado talaka) wa mwanamitindo maarufu Bongo ambaye kwa sasa yuko korokoroni Macau nchini China kwa msala wa kukamatwa na unga, Jacqueline Fitzpatrick Cliff, Abdulatif Fundikira ‘Tifu’ anadaiwa kumnasa kimalavu Miss Tanzania 2011, Salha Israel. Mume wa Jack Patrick akiwa na Salha Israel. Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Tifu, wawili hao hivi sasa wako kwenye ‘mahaba...

 

9 years ago

GPL

MUME AMTETEA JACK WA CHUZI KUKOSA MTOTO

Stori: Imelda Mtema MASKINI! Mume wa mwigizaji wa Bongo Movies, Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, Gadner Dibibi amewataka watu wanaomsema mkewe huyo kuwa hapati mtoto, waache kwani wanajisumbua bure suala hilo ni la Mwenyezi Mungu. Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuzi’, akiwa na mumewe Gadner Dibibi. Akizungumza na gazeti hili, Dibibi alisema alipomuoa Jack siyo kwamba alikuwa akifi kiria mtoto ila alijua mtoto analetwa na...

 

11 years ago

GPL

SALHA, MUME WA JACK PATRICK WANASWA WAKIDENDEKEA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MISS Tanzania 2011, Salha Israel na aliyekuwa mume wa mwanamitindo maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira picha zao zimenaswa wakidendeka kwa raha zao. Salha Israel akiwa kwenye pozi la kimahaba na aliyekuwa mume wa mwanamitindo maarufu wa Bongo, Jacqueline Patrick, Abdullatif Fundikira Baada ya mapaparazi wetu kuzinasa picha hizo kwenye mitandao ya kijamii,...

 

10 years ago

GPL

MUME:SIKUBALI NDOA YANGU NA JACK IVUNJIKE!

Mwandishi Wetu/ijumaawikienda
MUME wa mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, Gadna Dibibi amefunguka kuwa kamwe hawezi kukubali ndoa yake ivunjike kirahisi, atapambana hadi dakika ya mwisho.Kauli hiyo ya Gadna ameitoa ikiwa ni siku chache tangu vyombo vya habari viripoti kuwa wawili hao waliooana mwaka 2013, wamemwagana na kila mtu anaishi kivyake. Mwigizaji Jacqueline Pentezel ‘Jack Chuz’, akiwa...

 

11 years ago

GPL

JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!

Stori: Mrisho Mapeyo
Msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ amewapa makavu laivu baadhi ya watu wanaoshangaa na kuhoji inakuwaje anatimiza mwaka mmoja ndani ya ndoa bila kuzaa. Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ akiwa na mumewe siku ya ndoa yao. Akizungumzia maneno ambayo amekuwa akiyasikia kutoka hata kwa watu wake wa karibu wakiwemo wasanii wenzake, Jack alisema anawashangaa kwa...

 

10 years ago

GPL

JUX: KWELI JACK PATRICK NI MPENZI WANGU

Na Musa Mateja
MALOVEE! Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu, staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Nitasubiri, Juma Khalid ‘Jux’, kwa mara ya kwanza amevunja ukimya na kufungukia penzi lake na modo anayedaiwa kufungwa nchini China kwa msala wa madawa ya kulevya ‘unga’, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’. Staa wa Bongo Fleva anayetamba na wimbo wake wa Nitasubiri, Juma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani